Ze Comedy

Kibunago

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2008
Posts
300
Reaction score
122
Leo wameanza EATV .

Nia na uwezo wanao lakini washauliwa yafuatayo :

1. Shooting ni poor (yaani kuna mwangwi kibao katika sauti na picha zinamovuzishwa haraka sana)
2. Pateni vifaa vinavyokaribia na ukweli mfano Vitabu darasani na sio madaftari (yaani haichekeshi chochote hapo)
3. Fanyeni matizi zaidi ili muda mwingi mtumie kuchekesha kweli! Tafuteni watu waandikie scripts au kuwaandalia vituko au vichekesho vya nguvu!


Nimefurahia sana somo la historia kuhusu Mazuzu!
 
hakuna kazi isiyohitaji profession, mambo ya kugangaganga yamepitwa na wakati, waende shule
 
Kumbe bado wapo hawa...???

kuna Ze Comedy ya EATV - Kingwendu, Bambo, et al, na
Orijino Komedi ya TBC- Joti, Masanja, Mpoki, etc...
au nimekosea jamani?

 
kuna Ze Comedy ya EATV - Kingwendu, Bambo, et al, na
Orijino Komedi ya TBC- Joti, Masanja, Mpoki, etc...
au nimekosea jamani?


Wala haujakosea uko sawa sawia kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…