The comedy wapo juu bado ila wanashuka taratiibuuuuu
Futuhi wapo chini ila wanapanda taratiiiiibbuuuu
Ze comedy nao si wabunifu kwani waliiga kutoka katika kipindi cha Daily Show hurushwa CNN International,wapunguze mijitusi kwani hatuwezi kucheka bila matusi
Hivi wale wa channel Ten wanaitwaje wanaonyesha kipindi chao jumamosi no naona wanakuja juu
Gabu I loved that "The silent fool is counted wise". Ze komedi is the best