Dear mdogo wangu seki
kwanza polen sana snaa na matatizo yaliokupata binafsi nafuta rip zote kwa niaba ya walioandika iila haya maneni unatakiwa ukayafute kwa maombi aijalishi dini gani..kumbuka walioandika ni roho na kam utakaa kimya utaniambia...rip sio za kuchezea kumbuka kuna wanauza misalaba ukinunua wanakwambia karibu tena wanaouza majeneza wanakwambia karibu tena hizi zote ni roho zinaongea na zinasikia
nenda kwamwombe mungu wako afute haya maneno na waliokuandika wakasmahewe maana wengine wamepandia gari kwa nyuma bila kuwa na uhakika binafsi najua uko wapi nilianza kuwapa vionjo kidogo ikitokea nani wa kufikiria zaiidi
all the best
longer life br