KERO Zebra Crossing kufutika barabara kuu Morogoro -Dodoma Mamlaka zipo kimya kwanini?

KERO Zebra Crossing kufutika barabara kuu Morogoro -Dodoma Mamlaka zipo kimya kwanini?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Shinishi

Member
Joined
Apr 12, 2024
Posts
5
Reaction score
4
Zebra nyingi za mjini Barabara Kuu ya Morogoro - Dodoma nimeshangaa sana kwani zimefutika, mamlaka zipo kimya na hii hali imekua ya muda mrefu na hamna anayechukua hatua.

Hatutarajii mpaka yatokee madhira kwa watu ndiyo mchukue hatua, mamlaka chukueni hatua sasa hivi inatia aibu.
 
Back
Top Bottom