Zebra Crossing: Mgodi wa Trafiki na Polisi wa kawaida

Zebra Crossing: Mgodi wa Trafiki na Polisi wa kawaida

Kamanda Moshi

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
1,928
Reaction score
2,867
Wakuu, natumaini mu wazima na kwa wale wenye changamoto za afya na mengineyo nawapa pole na kuwatakia uponyaji wa haraka!

Wakuu kuna hii changamoto ya Askari police 👮‍♀️ kugeuza kivuko cha waenda kwa miguu sehemu yao ya kupigia hela.

Nina imani jambo hili lipo kwenye mikoa mingi na Hata humu jukwaani limekwisha tolewa taarifa na malalamiko mara kwa mara.

Nitatoa mifano miwili ambayo watumiaji wa hizo barabara watakubaliana nami kuwa sasa ni wakati jeshi la police kuchukua hatua kwa Askari wake ambao wamegeuza zebra crossing atm ya kuchumia pesa za watanzania na kuleta kero na foleni zisizo za lazima!

1. Kivuko cha River side - Ubungo
Askari hupenda kusimama njia panda ya Ubungo maziwa ili “kuzipiga” kwa wale wanaolekea buguruni na just before fly over ya mfugale “kuzipiga” kwa hawa wanaokuja Mlimani city au Mbezi!

Eneo hili waenda kwa miguu ni wengi na wamekuwa wakivuka randomly kitu kinachofanya magari kusimama Hata kwa 10 min kusubiria mtu mmoja mmoja kuvuka! Askari huwa wapo kwa mbele wanaangalia na kusubiri ukosee kidogo wale hela!

Sehemu hii utawakuta Traffic police na pia private police wote macho yamewatoka kukusanya mapato ya mifuko yao!
Matokeo ya jambo hili, magari hayatembei na kunakuwa na foleni mpaka external au juu ya fly over, na kupoteza nia nzuri ya serikali kujenga fly over yetu kwa gharama kubwa ili kupunguza foleni.

2. Kituo cha Shule -Bagamoyo road Mbezi beach

Sehemu hii napo mambo ni Yale yalee, Askari wamekaa mbele ya zebra crossing opposite na kituo cha mafuta cha Puma wametega mingo yao! Hapa napo huwa panatokea foleni mpaka njia panda ya Goba.

Wakuu, ina maana uongozi na viongozi wa jeshi la police pamoja na wakuu serikalini hawalioni hili tatizo? Kwa nini hawa police wanaokaa maeneo hayo wasiongoze watu na magari kutumia barabara ili kuondoa foleni zisizo za lazima na kurudisha nyuma uchumi wa nchi?

Mkuu Maxence Melo nadhani haitoshi tu kwa sisi kuandika humu, tunaomba kwa kutumia influence yako hii kero ifikishwe sehemu husika na hii kero itatuliwe maana sio tu inachochea rushwa ila pia inarudisha uchumi wa nchi nyuma kwa kuleta foleni zisizo za lazima.
 
Wanatega maeneo hayo, maana wanajuwa madereva wengi wa kibongo ni wazembe..
Maeneo hayo lazima watakosea tu
Alafu wakukamate wakupige hela

Ova
 
Wanatega maeneo hayo, maana wanajuwa madereva wengi wa kibongo ni wazembe..
Maeneo hayo lazima watakosea tu
Alafu wakukamate wakupige hela

Ova
Yaan zebra imegeuka deal vibaya mno kwa traffic. Nadhani zebra siku hizi ni deal kuliko Kushika tochi
 
Yaan zebra imegeuka deal vibaya mno kwa traffic. Nadhani zebra siku hizi ni deal kuliko Kushika tochi
Ukikaribia maeneo ya zebra punguza mwendo,usikanyage zebra...
Mm nna washkj kibao matrafic nkikaa nao nawasikiaga ..wao huwa wanatega maeneo ambayo yamezuiwa speed,usingie nk
Na yana alama....yamewekwa
Na wanakuambia wabongo ni wazembe,wajnga kufata na kusoma
Alama wao wanajiendeshea tu
Ndoman wao wanawapiga bao

Ova
 
Askari anakwambia ukifika ktk zebra, usimame uangalie kushoto na kulia kama hamna mtu ndio uendelee,

Ukifanya hivyo kutoka Bunju hadi kariakoo si utatumia masaa matano?

Kuna watu ukisimama kwenye zebra wanajivuta kuvuka, ukitaka kuondoka wanakuja mbio utafikiri wametumwa ili upigwe faini au utoe ya kiwi
 
Mkuu nimeipenda hii, imenifanya mimi kuwa mtu wa kutoka Dar saa nane za usiku na kuingia saa kumi Alfajiri.

Kuna junctions zingine Taa ya kijani inaruhusu na Pedestrians wanavuka kwenye Zebra sasa kwanini wasiwekewe Taa na wao ili wasijione kuwa wao pekee ndio wenye haki

Unakuta umekula 40k litres za Petroli ukiwamwagia si Bunge zima litahamia Mbezi na Siasa zao za kwenye kila jambo.

Kuhusu hao Askari kama ilivyo kwa kila mwindaji lazima apelekee kitoweo Watoto dawa yao ni usiku tu kama umechoshwa kama mimi.
 
Askari anakwambia ukifika ktk zebra, usimame uangalie kushoto na kulia kama hamna mtu ndio uendelee,

Ukifanya hivyo kutoka Bunju hadi kariakoo si utatumia masaa matano?

Kuna watu ukisimama kwenye zebra wanajivuta kuvuka, ukitaka kuondoka wanakuja mbio utafikiri wametumwa ili upigwe faini au utoe ya kiwi
Hao ni watu wao mkuu, Yaan zebra zimegeuka kitega-uchumi kwa Trafic na naamini kinawalipa kuliko mishahara yao ndio maana asubuh na mapema wameshawahi hapo!
 
Wakuu, natumaini mu wazima na kwa wale wenye changamoto za afya na mengineyo nawapa pole na kuwatakia uponyaji wa haraka!

Wakuu kuna hii changamoto ya Askari police 👮‍♀️ kugeuza kivuko cha waenda kwa miguu sehemu yao ya kupigia hela.

Nina imani jambo hili lipo kwenye mikoa mingi na Hata humu jukwaani limekwisha tolewa taarifa na malalamiko mara kwa mara.

Nitatoa mifano miwili ambayo watumiaji wa hizo barabara watakubaliana nami kuwa sasa ni wakati jeshi la police kuchukua hatua kwa Askari wake ambao wamegeuza zebra crossing atm ya kuchumia pesa za watanzania na kuleta kero na foleni zisizo za lazima!

1. Kivuko cha River side - Ubungo
Askari hupenda kusimama njia panda ya Ubungo maziwa ili “kuzipiga” kwa wale wanaolekea buguruni na just before fly over ya mfugale “kuzipiga” kwa hawa wanaokuja Mlimani city au Mbezi!

Eneo hili waenda kwa miguu ni wengi na wamekuwa wakivuka randomly kitu kinachofanya magari kusimama Hata kwa 10 min kusubiria mtu mmoja mmoja kuvuka! Askari huwa wapo kwa mbele wanaangalia na kusubiri ukosee kidogo wale hela!

Sehemu hii utawakuta Traffic police na pia private police wote macho yamewatoka kukusanya mapato ya mifuko yao!
Matokeo ya jambo hili, magari hayatembei na kunakuwa na foleni mpaka external au juu ya fly over, na kupoteza nia nzuri ya serikali kujenga fly over yetu kwa gharama kubwa ili kupunguza foleni.

2. Kituo cha Shule -Bagamoyo road Mbezi beach

Sehemu hii napo mambo ni Yale yalee, Askari wamekaa mbele ya zebra crossing opposite na kituo cha mafuta cha Puma wametega mingo yao! Hapa napo huwa panatokea foleni mpaka njia panda ya Goba.

Wakuu, ina maana uongozi na viongozi wa jeshi la police pamoja na wakuu serikalini hawalioni hili tatizo? Kwa nini hawa police wanaokaa maeneo hayo wasiongoze watu na magari kutumia barabara ili kuondoa foleni zisizo za lazima na kurudisha nyuma uchumi wa nchi?

Mkuu Maxence Melo nadhani haitoshi tu kwa sisi kuandika humu, tunaomba kwa kutumia influence yako hii kero ifikishwe sehemu husika na hii kero itatuliwe maana sio tu inachochea rushwa ila pia inarudisha uchumi wa nchi nyuma kwa kuleta foleni zisizo za lazima.
Fuata Sheria bila shuruti, ukizingua manjagu watakuzingua zaidi
 
Wakuu, natumaini mu wazima na kwa wale wenye changamoto za afya na mengineyo nawapa pole na kuwatakia uponyaji wa haraka!

Wakuu kuna hii changamoto ya Askari police 👮‍♀️ kugeuza kivuko cha waenda kwa miguu sehemu yao ya kupigia hela.

Nina imani jambo hili lipo kwenye mikoa mingi na Hata humu jukwaani limekwisha tolewa taarifa na malalamiko mara kwa mara.

Nitatoa mifano miwili ambayo watumiaji wa hizo barabara watakubaliana nami kuwa sasa ni wakati jeshi la police kuchukua hatua kwa Askari wake ambao wamegeuza zebra crossing atm ya kuchumia pesa za watanzania na kuleta kero na foleni zisizo za lazima!

1. Kivuko cha River side - Ubungo
Askari hupenda kusimama njia panda ya Ubungo maziwa ili “kuzipiga” kwa wale wanaolekea buguruni na just before fly over ya mfugale “kuzipiga” kwa hawa wanaokuja Mlimani city au Mbezi!

Eneo hili waenda kwa miguu ni wengi na wamekuwa wakivuka randomly kitu kinachofanya magari kusimama Hata kwa 10 min kusubiria mtu mmoja mmoja kuvuka! Askari huwa wapo kwa mbele wanaangalia na kusubiri ukosee kidogo wale hela!

Sehemu hii utawakuta Traffic police na pia private police wote macho yamewatoka kukusanya mapato ya mifuko yao!
Matokeo ya jambo hili, magari hayatembei na kunakuwa na foleni mpaka external au juu ya fly over, na kupoteza nia nzuri ya serikali kujenga fly over yetu kwa gharama kubwa ili kupunguza foleni.

2. Kituo cha Shule -Bagamoyo road Mbezi beach

Sehemu hii napo mambo ni Yale yalee, Askari wamekaa mbele ya zebra crossing opposite na kituo cha mafuta cha Puma wametega mingo yao! Hapa napo huwa panatokea foleni mpaka njia panda ya Goba.

Wakuu, ina maana uongozi na viongozi wa jeshi la police pamoja na wakuu serikalini hawalioni hili tatizo? Kwa nini hawa police wanaokaa maeneo hayo wasiongoze watu na magari kutumia barabara ili kuondoa foleni zisizo za lazima na kurudisha nyuma uchumi wa nchi?

Mkuu Maxence Melo nadhani haitoshi tu kwa sisi kuandika humu, tunaomba kwa kutumia influence yako hii kero ifikishwe sehemu husika na hii kero itatuliwe maana sio tu inachochea rushwa ila pia inarudisha uchumi wa nchi nyuma kwa kuleta foleni zisizo za lazima.
Ongeza na SUMBAWANGA Soko kuu,,mida ya jioni ni balaa
 
Polisi wawekwe kwenye zebra crossing zote za mijini. Maana cha ajabu ni kuwa ajali nyingi hutokea kwenye zebra. Ni salama kuvuka pasipo na zebra kuliko kwenye zebra. Madereva hawaheshimu kabisa hizi alama.
 
Miaka 10 ijayo kazi zao zitachukuliwa na AI hivyo wacha watafune hela muda huu
 
Ukikaribia maeneo ya zebra punguza mwendo,usikanyage zebra...
Mm nna washkj kibao matrafic nkikaa nao nawasikiaga ..wao huwa wanatega maeneo ambayo yamezuiwa speed,usingie nk
Na yana alama....yamewekwa
Na wanakuambia wabongo ni wazembe,wajnga kufata na kusoma
Alama wao wanajiendeshea tu
Ndoman wao wanawapiga bao

Ova

Kuna hili la stand kufatana na zebra,mfano magomeni mwembechai na manzese!!umesimama kumruhusu apite anakupa ishara wewe endelea kumbe yeye ni abiria na anasubiri daladala na unafika mbele polisi wanakukamata!!hii imekaaje?
 
Mkuu nimeipenda hii, imenifanya mimi kuwa mtu wa kutoka Dar saa nane za usiku na kuingia saa kumi Alfajiri.

Kuna junctions zingine Taa ya kijani inaruhusu na Pedestrians wanavuka kwenye Zebra sasa kwanini wasiwekewe Taa na wao ili wasijione kuwa wao pekee ndio wenye haki

Unakuta umekula 40k litres za Petroli ukiwamwagia si Bunge zima litahamia Mbezi na Siasa zao za kwenye kila jambo.

Kuhusu hao Askari kama ilivyo kwa kila mwindaji lazima apelekee kitoweo Watoto dawa yao ni usiku tu kama umechoshwa kama mimi.

Uko sahihi kabisa kongole!!mfano tunduma kuna wakati taa zinawaka kuruhusu waenda kwa miguu na kuna wakati zinawaka kuruhusu magari!!shida ya askari hawataki kutoa elimu kwa waenda kwa miguu wao kazi ni kusumbua wenye magari tu
 
Back
Top Bottom