Zelensky amejiingiza kwenye mtego-White house yakata tamaa

Zelensky amejiingiza kwenye mtego-White house yakata tamaa

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Wachambuzi wa kijeshi zaidi na zaidi wameingia kati kuashiria kuwa Ukraine haiwezi kushinda vita vinavyoendelea katij yaje ba Urusi.

Baadhi ya wachambuzi hao wamesema raisi wa Zelenky katika vita hivi ni kama kwamba kajiingiza kwenye boksi.Hataki kurudi nyuma na hawezi kushinda

Kwa upande wake ikulu ya Marekani imekiri kwa mara nyengine kwamba pamoja na mashambulizi ya Ukraine ya hapa na pale lakini bado haitoshelezi na tayari wako nyuma sana kuliko ilivyotarajiwa.

Kubaki nyuma huko kwa Ukraine imeelezwa kuwa kuingiliana na kampeni za Uraisi zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni nchini Marekani na wakati ambapo hali ya hewa iliyokuwa rafiki kufanya mashambulizi hayo nayo iko karibu kubadilika.

Zaidi ya hapo wapiganaji wenyewe wamesema ngome za Urusi kuwazuia wasisonge mbele ni kitu ambacho hawajapata kuona na hawakutarajia. Wamesema vifaru vyote walivyopokea kutoka nchi marafiki havina uwezo kuzipenya.Imebidi warudie vifaru vyao vya enzi za Usoviet ambavyo kidogo vinaweza kujizogeza.
 
Wachambuzi wa kijeshi zaidi na zaidi wameingia kati kuashiria kuwa Ukraine haiwezi kushinda vita vinavyoendelea katij yaje ba Urusi.

Baadhi ya wachambuzi hao wamesema raisi wa Zelenky katika vita hivi ni kama kwamba kajiingiza kwenye boksi.Hataki kurudi nyuma na hawezi kushinda

Kwa upande wake ikulu ya Marekani imekiri kwa mara nyengine kwamba pamoja na mashambulizi ya Ukraine ya hapa na pale lakini bado haitoshelezi na tayari wako nyuma sana kuliko ilivyotarajiwa.

Kubaki nyuma huko kwa Ukraine imeelezwa kuwa kuingiliana na kampeni za Uraisi zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni nchini Marekani na wakati ambapo hali ya hewa iliyokuwa rafiki kufanya mashambulizi hayo nayo iko karibu kubadilika.

Zaidi ya hapo wapiganaji wenyewe wamesema ngome za Urusi kuwazuia wasisonge mbele ni kitu ambacho hawajapata kuona na hawakutarajia. Wamesema vifaru vyote walivyopokea kutoka nchi marafiki havina uwezo kuzipenya.Imebidi warudie vifaru vyao vya enzi za Usoviet ambavyo kidogo vinaweza kujizogeza.
for sometimes u need to be wise, wise enough to evaluate things in logic way.

Raisi wa Ukraine ni puppet wa mataifa ya west aliamini kuwa mission ambayo wakubwa wake walimtuma ya kuwatanulia mipaka Nato ingefanikiwa. lakin mpaka muda huu hapati muelekeo wake, hatima ya Ukraine ni nini , atawaeleza nini raia wa Ukraine.

Lakin tusisahau kuwa sisi ni watu weusi wanaotunyonya wanapogombana au kufarakana sisi tunajifunza nini , tunachukua hatua gani kuweza kujikwamua ktk dhiki zinazotuandama? upo msemo kwamba ndugu wakigombana shika jembe kalime wakipatana beba kapu ukavune. itakuwa ni ajabu kama hatutavuna kitu ktk kile kinachoendelea Ukraine .tuondoe ushabiki
 
Wachambuzi wa kijeshi zaidi na zaidi wameingia kati kuashiria kuwa Ukraine haiwezi kushinda vita vinavyoendelea katij yaje ba Urusi.

Baadhi ya wachambuzi hao wamesema raisi wa Zelenky katika vita hivi ni kama kwamba kajiingiza kwenye boksi.Hataki kurudi nyuma na hawezi kushinda

Kwa upande wake ikulu ya Marekani imekiri kwa mara nyengine kwamba pamoja na mashambulizi ya Ukraine ya hapa na pale lakini bado haitoshelezi na tayari wako nyuma sana kuliko ilivyotarajiwa.

Kubaki nyuma huko kwa Ukraine imeelezwa kuwa kuingiliana na kampeni za Uraisi zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni nchini Marekani na wakati ambapo hali ya hewa iliyokuwa rafiki kufanya mashambulizi hayo nayo iko karibu kubadilika.

Zaidi ya hapo wapiganaji wenyewe wamesema ngome za Urusi kuwazuia wasisonge mbele ni kitu ambacho hawajapata kuona na hawakutarajia. Wamesema vifaru vyote walivyopokea kutoka nchi marafiki havina uwezo kuzipenya.Imebidi warudie vifaru vyao vya enzi za Usoviet ambavyo kidogo vinaweza kujizogeza.
nimetoka bbc naona mji alikotokea zele umepigwa na kombora ambalo limeleta uharibifu na vifo
 
Wachambuzi wa kijeshi zaidi na zaidi wameingia kati kuashiria kuwa Ukraine haiwezi kushinda vita vinavyoendelea katij yaje ba Urusi.

Baadhi ya wachambuzi hao wamesema raisi wa Zelenky katika vita hivi ni kama kwamba kajiingiza kwenye boksi.Hataki kurudi nyuma na hawezi kushinda

Kwa upande wake ikulu ya Marekani imekiri kwa mara nyengine kwamba pamoja na mashambulizi ya Ukraine ya hapa na pale lakini bado haitoshelezi na tayari wako nyuma sana kuliko ilivyotarajiwa.

Kubaki nyuma huko kwa Ukraine imeelezwa kuwa kuingiliana na kampeni za Uraisi zinazotarajiwa kuanza hivi karibuni nchini Marekani na wakati ambapo hali ya hewa iliyokuwa rafiki kufanya mashambulizi hayo nayo iko karibu kubadilika.

Zaidi ya hapo wapiganaji wenyewe wamesema ngome za Urusi kuwazuia wasisonge mbele ni kitu ambacho hawajapata kuona na hawakutarajia. Wamesema vifaru vyote walivyopokea kutoka nchi marafiki havina uwezo kuzipenya.Imebidi warudie vifaru vyao vya enzi za Usoviet ambavyo kidogo vinaweza kujizogeza.
Hao wachambuzi chanzo kimetoka gongola mboto? Putin alisema Urusi haitaguswa sasa moto ndani ya Moscow na hakuna cha nuclear wala chochote leo rasmi Zelensky ameonya Urusi si mahali salama tena, ni ishara kubwa sasa kwamba Ukraine amemsigina Russia hadi nyumbani kwake kutoka Kyiv alikokuwa wakati anavamia

Nyinyi mnakuja hapa kujipa moyo wakati Zelensky anagawa nishani kwa wanajeshi wake walio front line.,
 
for sometimes u need to be wise, wise enough to evaluate things in logic way.

Raisi wa Ukraine ni puppet wa mataifa ya west aliamini kuwa mission ambayo wakubwa wake walimtuma ya kuwatanulia mipaka Nato ingefanikiwa. lakin mpaka muda huu hapati muelekeo wake, hatima ya Ukraine ni nini , atawaeleza nini raia wa Ukraine.

Lakin tusisahau kuwa sisi ni watu weusi wanaotunyonya wanapogombana au kufarakana sisi tunajifunza nini , tunachukua hatua gani kuweza kujikwamua ktk dhiki zinazotuandama? upo msemo kwamba ndugu wakigombana shika jembe kalime wakipatana beba kapu ukavune. itakuwa ni ajabu kama hatutavuna kitu ktk kile kinachoendelea Ukraine .tuondoe ushabiki
Dizzo uko huku? Goloko mwenyewe[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tupe source isije ikawa RT, Press Tv, CCTV au ka-Tv ka huko Belarus.
 
for sometimes u need to be wise, wise enough to evaluate things in logic way.

Raisi wa Ukraine ni puppet wa mataifa ya west aliamini kuwa mission ambayo wakubwa wake walimtuma ya kuwatanulia mipaka Nato ingefanikiwa. lakin mpaka muda huu hapati muelekeo wake, hatima ya Ukraine ni nini , atawaeleza nini raia wa Ukraine.

Lakin tusisahau kuwa sisi ni watu weusi wanaotunyonya wanapogombana au kufarakana sisi tunajifunza nini , tunachukua hatua gani kuweza kujikwamua ktk dhiki zinazotuandama? upo msemo kwamba ndugu wakigombana shika jembe kalime wakipatana beba kapu ukavune. itakuwa ni ajabu kama hatutavuna kitu ktk kile kinachoendelea Ukraine .tuondoe ushabiki
Sababu ya kutafuta mavuna ndio maana tunawafuatilia hatua kwa hatua.
 
for sometimes u need to be wise, wise enough to evaluate things in logic way.

Raisi wa Ukraine ni puppet wa mataifa ya west aliamini kuwa mission ambayo wakubwa wake walimtuma ya kuwatanulia mipaka Nato ingefanikiwa. lakin mpaka muda huu hapati muelekeo wake, hatima ya Ukraine ni nini , atawaeleza nini raia wa Ukraine.

Lakin tusisahau kuwa sisi ni watu weusi wanaotunyonya wanapogombana au kufarakana sisi tunajifunza nini , tunachukua hatua gani kuweza kujikwamua ktk dhiki zinazotuandama? upo msemo kwamba ndugu wakigombana shika jembe kalime wakipatana beba kapu ukavune. itakuwa ni ajabu kama hatutavuna kitu ktk kile kinachoendelea Ukraine .tuondoe ushabiki
Kabisa kabisa ..Ila akili zetu huwa zinawaza kinyume nyume...May God help us on this!
 
Back
Top Bottom