Zelensky baada ya kushindwa kazi aliyojitwisha kwa ukibaraka wake sasa yatamkuta yaliyompata Jonas Savimbi wa Namibia.

Zelensky baada ya kushindwa kazi aliyojitwisha kwa ukibaraka wake sasa yatamkuta yaliyompata Jonas Savimbi wa Namibia.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Jonas Savimbi aliongoza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Angola kwa miaka mingi na kutoa fursa kwa maliasili za nchi hiyo kumilikiwa na makampuni ya mabepari.Uraisi alioutarajia hakuupata na baada ya kumaliza kazi naye akauliwa.
Kwa upande wa Zelensky wa Ukraine wakati nchi ilikuwa na neema kubwa hakuona shida kuchukua jukumu la kuichokoza Urusi akiwa na tamaa kuitwa shujaa.
Matokeo ya kazi ya Zelensky yamekuwa ni hasi baada ya kukwaana na kisiki cha mpingo huko Urusi.Sasa baada ya kuitia umaskini na ukata mkubwa Marekani amekuwa hana thamani tena.
Raisi Trump wa Marekani ambaye kila kitu duniani anakiangalia kwa jicho la kibepari amemtangaza Zelensky kama dikteta kwa watu wake.Katika hali hiyo hakuna dalili yoyote ya Ukraine kufanikiwa katika lolote lile waliloaminishwa wangelipata.
Zaidi ya yote kiongozi wa Ukraine sasa atakuwa anaishi kwa hofu na udhalili mkubwa kwani wakati wowote Marekani inaweza kuongoza harakati za kumgoa madarakani na kumuweka mwengine ambaye angalau hatazuia madini yanayotakiwa na Trump kupelekwa huko kufidia gharama kubwa zilizotokana na vita hivyo vilivyodumu kwa takriban miaka mitatu sasa.
 
Jonas Savimbi aliongoza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Namibia kwa miaka mingi na kutoa fursa kwa maliasili za nchi hiyo kumilikiwa na makampuni ya mabepari.Uraisi alioutarajia hakuupata na baada ya kumaliza kazi naye akauliwa.
Kwa upande wa Zelensky wa Ukraine wakati nchi ilikuwa na neema kubwa hakuona shida kuchukua jukumu la kuichokoza Urusi akiwa na tamaa kuitwa shujaa.
Matokeo ya kazi ya Zelensky yamekuwa ni hasi baada ya kukwaana na kisiki cha mpingo huko Urusi.Sasa baada ya kuitia umaskini na ukata mkubwa Marekani amekuwa hana thamani tena.
Raisi Trump wa Marekani ambaye kila kitu duniani anakiangalia kwa jicho la kibepari amemtangaza Zelensky kama dikteta kwa watu wake.Katika hali hiyo hakuna dalili yoyote ya Ukraine kufanikiwa katika lolote lile waliloaminishwa wangelipata.
Zaidi ya yote kiongozi wa Ukraine sasa atakuwa anaishi kwa hofu na udhalili mkubwa kwani wakati wowote Marekani inaweza kuongoza harakati za kumgoa madarakani na kumuweka mwengine ambaye angalau hatazuia madini yanayotakiwa na Trump kupelekwa huko kufidia gharama kubwa zilizotokana na vita hivyo vilivyodumu kwa takriban miaka mitatu sasa.
Jonas Savimbi alikuwa kiongozi wa waasi wa UNITA huko Angola sio Namibia.

Zelensky ni Rais wa Ukraine wakati Savimbi hakuwahi kuwa Rais.

Savimbi aliongoza vita vya msituni dhidi ya wareno na baadae vita vya wenyewe kwa wenyewe wakati Zelensky anaongoza vita dhidi ya Urusi.

Savimbi alikuwa muhimu enzi za vita baridi kwani alipigana na serikali ya ki-maxist ilivyokuwa ukiungwa mkono na Cuba na USSR...... ilihali Zelensky anapambana na Uvamizi wa Urusi nchini mwake.
 
waombe Moderator wabadilishe hapo kwenye namibia kwa maana jonas savimbi alikuwa ni kutoka angola.
Ni kweli kuna kosa hapo.Moderator ni wajibu wao kubadili kwenye kichwa cha habari nami nitarekebisha kwenye uzi wenyewe,
 
Jonas Savimbi alikuwa kiongozi wa waasi wa UNITA huko Angola sio Namibia.

Zelensky ni Rais wa Ukraine wakati Savimbi hakuwahi kuwa Rais.

Savimbi aliongoza vita vya msituni dhidi ya wareno na baadae vita vya wenyewe kwa wenyewe wakati Zelensky anaongoza vita dhidi ya Urusi.

Savimbi alikuwa muhimu enzi za vita baridi kwani alipigana na serikali ya ki-maxist ilivyokuwa ukiungwa mkono na Cuba na USSR...... ilihali Zelensky anapambana na Uvamizi wa Urusi nchini mwake.
Nchi zilizokuwa marafiki wa Angola ndio tulimwita muasi lakini waliomtuma kuanzisha vita hivyo alionekana ni mwanamapinduzi mpaka pale alipofanikisha lengo.
 
Jonas Savimbi alikuwa kiongozi wa waasi wa UNITA huko Angola sio Namibia.

Zelensky ni Rais wa Ukraine wakati Savimbi hakuwahi kuwa Rais.

Savimbi aliongoza vita vya msituni dhidi ya wareno na baadae vita vya wenyewe kwa wenyewe wakati Zelensky anaongoza vita dhidi ya Urusi.

Savimbi alikuwa muhimu enzi za vita baridi kwani alipigana na serikali ya ki-maxist ilivyokuwa ukiungwa mkono na Cuba na USSR...... ilihali Zelensky anapambana na Uvamizi wa Urusi nchini mwake.
Savimbi alikuwa ni mtukati baina ya mabepari wa kimagharibi na wasocialist wa kimashariki wakati Zelensky amejitutumua kuchukua jukumu la kuikaribisha NATO mpakani na Urusi jukumu ambalo halikuwa na umuhimu wowote kwa maslahi ya Ukraine.
 
Jonas Savimbi aliongoza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Angola kwa miaka mingi na kutoa fursa kwa maliasili za nchi hiyo kumilikiwa na makampuni ya mabepari.Uraisi alioutarajia hakuupata na baada ya kumaliza kazi naye akauliwa.Jon
Kwa upande wa Zelensky wa Ukraine wakati nchi ilikuwa na neema kubwa hakuona shida kuchukua jukumu la kuichokoza Urusi akiwa na tamaa kuitwa shujaa.
Matokeo ya kazi ya Zelensky yamekuwa ni hasi baada ya kukwaana na kisiki cha mpingo huko Urusi.Sasa baada ya kuitia umaskini na ukata mkubwa Marekani amekuwa hana thamani tena.
Raisi Trump wa Marekani ambaye kila kitu duniani anakiangalia kwa jicho la kibepari amemtangaza Zelensky kama dikteta kwa watu wake.Katika hali hiyo hakuna dalili yoyote ya Ukraine kufanikiwa katika lolote lile waliloaminishwa wangelipata.
Zaidi ya yote kiongozi wa Ukraine sasa atakuwa anaishi kwa hofu na udhalili mkubwa kwani wakati wowote Marekani inaweza kuongoza harakati za kumgoa madarakani na kumuweka mwengine ambaye angalau hatazuia madini yanayotakiwa na Trump kupelekwa huko kufidia gharama kubwa zilizotokana na vita hivyo vilivyodumu kwa takriban miaka mitatu sasa.
Jonas Savimbi kwa kumbukumbu zangu alikiwa ni kiongozi wa waasi Angola miaka ilee,na alikinukisha kwa kama 30yrs
 
Magufuli aliwahi kusema walivyomuua Saddam Hussein aliyekuwa rais wa Kuwait na wewe ni mbumbumbu kama yeye tu, Savimbi alikuwa wa Namibia gani hiyo...🤣🤣🤣
 
Lakini bila Savimbi na Unita Angola kusingekuwa na uchaguzi wala vyama vya upinzani.
Yeah!...hili lina ukweli kiasi Fulani.

Savimbi alikuwa msanii tu....hapo awali alipokea msaada wa silaha na fedha kwa China mwanzoni mwa miaka ya 60 tena akijikita kwenye falsafa za kimao ila baadae kwenye miaka ya 70 mpaka 80 wakati wa kilele cha vita baridi alihama ghafla na kuibuka kwenye Kambi ya Wamagharibi.

Kiufupi alikuwa akitafuta Fursa tu ya kupata madaraka bila kujali itikadi.

 
Jonas Savimbi aliongoza vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Angola kwa miaka mingi na kutoa fursa kwa maliasili za nchi hiyo kumilikiwa na makampuni ya mabepari.Uraisi alioutarajia hakuupata na baada ya kumaliza kazi naye akauliwa.
Kwa upande wa Zelensky wa Ukraine wakati nchi ilikuwa na neema kubwa hakuona shida kuchukua jukumu la kuichokoza Urusi akiwa na tamaa kuitwa shujaa.
Matokeo ya kazi ya Zelensky yamekuwa ni hasi baada ya kukwaana na kisiki cha mpingo huko Urusi.Sasa baada ya kuitia umaskini na ukata mkubwa Marekani amekuwa hana thamani tena.
Raisi Trump wa Marekani ambaye kila kitu duniani anakiangalia kwa jicho la kibepari amemtangaza Zelensky kama dikteta kwa watu wake.Katika hali hiyo hakuna dalili yoyote ya Ukraine kufanikiwa katika lolote lile waliloaminishwa wangelipata.
Zaidi ya yote kiongozi wa Ukraine sasa atakuwa anaishi kwa hofu na udhalili mkubwa kwani wakati wowote Marekani inaweza kuongoza harakati za kumgoa madarakani na kumuweka mwengine ambaye angalau hatazuia madini yanayotakiwa na Trump kupelekwa huko kufidia gharama kubwa zilizotokana na vita hivyo vilivyodumu kwa takriban miaka mitatu sasa.
savimbi wa nambia? we ukikutana baba mzazi djaro. arungu utakula mboko
 
Back
Top Bottom