Zelensky kwanini NATO na sio EU?

Zelensky kwanini NATO na sio EU?

Lee Van free

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2024
Posts
1,535
Reaction score
5,332
Kitu hiki kinanishangaza sana na kuona kua kumbe Kuna baadhi ya Viongozi wazungu ni wajinga sana.

Zelensky wa Ukraine ameng'ang'ania kutaka kujiunga na umoja wa kujihami kijeshi wa nchi za Magharibi ambao hauna faida yoyote ya kiuchumi na kisiasa zaidi ya ulinzi wa kijeshi.

Nashangaa kwa sababu Kuna nchi nyingi zilizokua umoja wa Soviet wala hazina haja na NATO na maisha yanaendelea vizuri TU,mfano Tajikistan,kyugistan, Georgia,Azebaijan,Beralus n.k

Ni kweli ukiangalia hakika NATO Haina msaada kiuchumi Bali kijeshi,je kwa Nini zelensky na Ukraine wanatamani sana kujiunga na NATO badala ya kutamani kujiunga na umoja wa Ulaya (European Union)?ambao kwa hakika unafaisa sana kiuchumi badala ya kijeshi?

Je zelensky na Ukraine Wana nia gani na Wana malengo gani ya
kivita na kijeshi?

Kabla ya hii vita na kabla ya mapinduzi ya Maidan na wakati wa Marais wa Ukraine wa kabla ya ya Zelensky akina Leonid kravchuk,Leonid kuchma ,Petro Poroshenko,na Victot Yanukovic kulikua Kuna amani na mahusiano mazuri baina ya Urusi na Ukraine.

Swali langu ni Kwa Nini Ukraine ya Sasa hawana shida na kujiunga na miungano ya kiuchumi na kisiasa kama Shanghai cooperation,G20 na EU,bali wanatamani kujiunga Kwa jasho na damu na umoja wa kijeshi na kivita wa NATO kwa Kila namna?

Hii ni akili ya namna Gani?

Kwa Nini NATO isiyo na faida kiuchumi? na kibaya zaidi inakugombanisha na jirani Yako?
Hii ni akili ya namna Gani?

Zelensky na Ukraine ya Sasa wamekusudia Nini na wana malengo Gani?na NATO
Kwani Kuna ulazima Gani na NATO badala na EU?
 
Kitu hiki kinanishangaza sana na kuona kua kumbe Kuna baadhi ya Viongozi wazungu ni wajinga sana.

Zelensky wa Ukraine ameng'ang'ania kutaka kujiunga na umoja wa kujihami kijeshi wa nchi za Magharibi ambao hauna faida yoyote ya kiuchumi na kisiasa zaidi ya ulinzi wa kijeshi.

Nashangaa kwa sababu Kuna nchi nyingi zilizokua umoja wa Soviet wala hazina haja na NATO na maisha yanaendelea vizuri TU,mfano Tajikistan,kyugistan, Georgia,Azebaijan,Beralus n.k

Ni kweli ukiangalia hakika NATO Haina msaada kiuchumi Bali kijeshi,je kwa Nini zelensky na Ukraine wanatamani sana kujiunga na NATO badala ya kutamani kujiunga na umoja wa Ulaya (European Union)?ambao kwa hakika unafaisa sana kiuchumi badala ya kijeshi?
Je zelensky na Ukraine Wana nia gani na Wana malengo gani ya
kivita na kijeshi?

Kabla ya hii vita na kabla ya mapinduzi ya Maidan na wakati wa Marais wa Ukraine wa kabla ya ya Zelensky akina Leonid kravchuk,Leonid kuchma ,Petro Poroshenko,na Victot Yanukovic kulikua Kuna amani na mahusiano mazuri baina ya Urusi na Ukraine.

Swali langu ni Kwa Nini Ukraine ya Sasa hawana shida na kujiunga na miungano ya kiuchumi na kisiasa kama Shanghai cooperation,G20 na EU,bali wanatamani kujiunga Kwa jasho na damu na umoja wa kijeshi na kivita wa NATO kwa Kila namna?
Hii ni akili ya namna Gani?
Kwa Nini NATO isiyo na faida kiuchumi? na kibaya zaidi inakugombanisha na jirani Yako?
Hii ni akili ya namna Gani?
Zelensky na Ukraine ya Sasa wamekusudia Nini na wana malengo Gani?na NATO
Kwani Kuna ulazima Gani na NATO badala na EU?
Umetaja nchi ambazo zilikua umoja wa Soviet na hazina haja na NATO, kwenye list yako umesahau UKRAINE kwa sababu ni nchi yenye maendeleo makubwa sana kiuchumi na kijeshi na inarasilimali nyingi sana ambazo zinaweza kuifanya ikawa tajiri na kuitishia Russia kama itaungana na adui wa Russia...Ukraine haina shida ya uchumi kama unavyodhani, inashida ya ulinzi kwa sababu Russia haitaweza kukubali kuziacha rasilimali za Ukraine
 
Haya na ilindwe sasa
Umetaja nchi ambazo zilikua umoja wa Soviet na hazina haja na NATO, kwenye list yako umesahau UKRAINE kwa sababu ni nchi yenye maendeleo makubwa sana kiuchumi na kijeshi na inarasilimali nyingi sana ambazo zinaweza kuifanya ikawa tajiri na kuitishia Russia kama itaungana na adui wa Russia...Ukraine haina shida ya uchumi kama unavyodhani, inashida ya ulinzi kwa sababu Russia haitaweza kukubali kuziacha rasilimali za Ukraine
Na Mali zake.
 
Umetaja nchi ambazo zilikua umoja wa Soviet na hazina haja na NATO, kwenye list yako umesahau UKRAINE kwa sababu ni nchi yenye maendeleo makubwa sana kiuchumi na kijeshi na inarasilimali nyingi sana ambazo zinaweza kuifanya ikawa tajiri na kuitishia Russia kama itaungana na adui wa Russia...Ukraine haina shida ya uchumi kama unavyodhani, inashida ya ulinzi kwa sababu Russia haitaweza kukubali kuziacha rasilimali za Ukraine
Lakini kabla ya zelensky,yaani kwa Marais waliopita Urusi na Ukraine zilikua na mahusiano mazuri mno,na hakukua na kitisho chochote Cha kuvamiwa,waliuziana gesi na bidhaa nyingine,amani ilitawala baina Yao.
Wala Urusi hakuitamani Crimea,wala waasi wa Donestk na Lugansk hawakuwepo.
Hofu ya kutamani ulinzi wa NATO ilitokea wapi?
 
Lakini kabla ya zelensky,yaani kwa Marais waliopita Urusi na Ukraine zilikua na mahusiano mazuri mno,na hakukua na kitisho chochote Cha kuvamiwa,waliuziana gesi na bidhaa nyingine,amani ilitawala baina Yao.
Wala Urusi hakuitamani Crimea,wala waasi wa Donestk na Lugansk hawakuwepo.
Hofu ya kutamani ulinzi wa NATO ilitokea wapi?
Utakesha,Wana mapoint hao.
 
Ha ha haa. Ni kweli kabisa usemavyo.
Sasa kapoteza vitu vingi mno,kapoteza watu,Kapoteza Ardhi na kapoteza ombi la kujiunga NATO.
Wakati mwingine ujinga waweza zalisha upuuzi mkubwa,Jitu liko amerika linakurubuni unakabiliana na mtu hata humwezi.Tuwe wakweli watu wenye akili hawapendi kupigana na adui aliye karibu sana.Haswa adui awe na nguvu nzito.WASEME WATAKAVYOSEMA KUNA MAHALI PALIKOSEWA.
 
Lakini kabla ya zelensky,yaani kwa Marais waliopita Urusi na Ukraine zilikua na mahusiano mazuri mno,na hakukua na kitisho chochote Cha kuvamiwa,waliuziana gesi na bidhaa nyingine,amani ilitawala baina Yao.
Wala Urusi hakuitamani Crimea,wala waasi wa Donestk na Lugansk hawakuwepo.
Hofu ya kutamani ulinzi wa NATO ilitokea wapi?
Hofu inakuja kwa sababu kabla ya Ukraine kutamani kujiunga NATO ilitaka kujiunga umoja wa ulaya na ilikua inataka kufanya biashara na Marekani kwa uhuru...Russia haiwez kukubali hilo na uwepo wa biashara direct na marekani na uwepo wa uwekezaji mkubwa wa Marekani utaizuia Russia kuishambulia Ukraine pale inapobidi kwa sababu Russia itajiingiza vita ya moja kwa moja na Marekani kwa sababu wanaweza kuua raia na kuharibu interest za marekan...so putin lazima afanye analoweza kufanya, amuondoe Zalensky madarakani na kumuingiza raisi ambaye atatunza maslahi ya Russia ukraine ikiwepo moja kutojiunga umoja wa ulaya
 
Kitu hiki kinanishangaza sana na kuona kua kumbe Kuna baadhi ya Viongozi wazungu ni wajinga sana.

Zelensky wa Ukraine ameng'ang'ania kutaka kujiunga na umoja wa kujihami kijeshi wa nchi za Magharibi ambao hauna faida yoyote ya kiuchumi na kisiasa zaidi ya ulinzi wa kijeshi.

Nashangaa kwa sababu Kuna nchi nyingi zilizokua umoja wa Soviet wala hazina haja na NATO na maisha yanaendelea vizuri TU,mfano Tajikistan,kyugistan, Georgia,Azebaijan,Beralus n.k

Ni kweli ukiangalia hakika NATO Haina msaada kiuchumi Bali kijeshi,je kwa Nini zelensky na Ukraine wanatamani sana kujiunga na NATO badala ya kutamani kujiunga na umoja wa Ulaya (European Union)?ambao kwa hakika unafaisa sana kiuchumi badala ya kijeshi?
Je zelensky na Ukraine Wana nia gani na Wana malengo gani ya
kivita na kijeshi?

Kabla ya hii vita na kabla ya mapinduzi ya Maidan na wakati wa Marais wa Ukraine wa kabla ya ya Zelensky akina Leonid kravchuk,Leonid kuchma ,Petro Poroshenko,na Victot Yanukovic kulikua Kuna amani na mahusiano mazuri baina ya Urusi na Ukraine.

Swali langu ni Kwa Nini Ukraine ya Sasa hawana shida na kujiunga na miungano ya kiuchumi na kisiasa kama Shanghai cooperation,G20 na EU,bali wanatamani kujiunga Kwa jasho na damu na umoja wa kijeshi na kivita wa NATO kwa Kila namna?
Hii ni akili ya namna Gani?
Kwa Nini NATO isiyo na faida kiuchumi? na kibaya zaidi inakugombanisha na jirani Yako?
Hii ni akili ya namna Gani?
Zelensky na Ukraine ya Sasa wamekusudia Nini na wana malengo Gani?na NATO
Kwani Kuna ulazima Gani na NATO badala na EU?
NATO ndio inayoweza kuwahakikishia ulinzi siku za mbeleni Ili wasivamiwe tena na Urusi
 
NATO ndio inayoweza kuwahakikishia ulinzi siku za mbeleni Ili wasivamiwe tena na Urusi
Kwani kabla ya uvamizi huu tunaojadili Leo hii,alishawahi kutishiwa kuvamiwa huko nyuma?enzi za akina Petro Poroshenko, Victor Yanukovic na akina Leonid kuchma?
Mbona waliishi kwa Raha na amani?
Wakaingia na mikataba ya kupitisha mabomba ya gesi kutoka Urusi kupitia Ukraine kwenda Ulaya Magharibi?
 
Siyo yeye ila anaburuzwa kwa malengo ya kuivamia Russia! Mpango wa NATO ni kuivamia Russia.
Hamna nchi inataka kuivamia Russia, ili wapate nini? nchi za magharibi zinataka Russia iingie mfumo wa ubepari na kwa sababu ni vigumu wanataka kumtoa Putin aje raisi ambaye watampanga ikifikia hapo Russia itakua rafiki mkubwa wa magharibi alafu kumbuka Russia ilishawahi tutoa ombi la kujiunga na NATO na Marekani ndio ilikataa kwa kuannini kuwa Nchi kubwa inahitaji Adui mkubwa
 
Umetaja nchi ambazo zilikua umoja wa Soviet na hazina haja na NATO, kwenye list yako umesahau UKRAINE kwa sababu ni nchi yenye maendeleo makubwa sana kiuchumi na kijeshi na inarasilimali nyingi sana ambazo zinaweza kuifanya ikawa tajiri na kuitishia Russia kama itaungana na adui wa Russia...Ukraine haina shida ya uchumi kama unavyodhani, inashida ya ulinzi kwa sababu Russia haitaweza kukubali kuziacha rasilimali za Ukraine
Si wangemkubalia Sasa hao NATO anapojitongozesha kila siku wanampiga kibuti!?
 
Hakuna nchi ya Ulaya itakayoenda kinyume na USA, mwisho wa siku kila nchi itajitoa kwenye hiyo vita,Ulaya wamedanganywa sana kuhusu adui yao mkuu kuwa ni Urusi,lakini kumbe USA na Urusi nyuma ya pazia Wana lao jambo
 
Kwani kabla ya uvamizi huu tunaojadili Leo hii,alishawahi kutishiwa kuvamiwa huko nyuma?enzi za akina Petro Poroshenko, Victor Yanukovic na akina Leonid kuchma?
Mbona waliishi kwa Raha na amani?
Wakaingia na mikataba ya kupitisha mabomba ya gesi kutoka Urusi kupitia Ukraine kwenda Ulaya Magharibi?
Ilivamiwa mwaka 2014 na ikanyang'anywa Crimea.
 
Kitu hiki kinanishangaza sana na kuona kua kumbe Kuna baadhi ya Viongozi wazungu ni wajinga sana.

Zelensky wa Ukraine ameng'ang'ania kutaka kujiunga na umoja wa kujihami kijeshi wa nchi za Magharibi ambao hauna faida yoyote ya kiuchumi na kisiasa zaidi ya ulinzi wa kijeshi.

Nashangaa kwa sababu Kuna nchi nyingi zilizokua umoja wa Soviet wala hazina haja na NATO na maisha yanaendelea vizuri TU,mfano Tajikistan,kyugistan, Georgia,Azebaijan,Beralus n.k

Ni kweli ukiangalia hakika NATO Haina msaada kiuchumi Bali kijeshi,je kwa Nini zelensky na Ukraine wanatamani sana kujiunga na NATO badala ya kutamani kujiunga na umoja wa Ulaya (European Union)?ambao kwa hakika unafaisa sana kiuchumi badala ya kijeshi?

Je zelensky na Ukraine Wana nia gani na Wana malengo gani ya
kivita na kijeshi?

Kabla ya hii vita na kabla ya mapinduzi ya Maidan na wakati wa Marais wa Ukraine wa kabla ya ya Zelensky akina Leonid kravchuk,Leonid kuchma ,Petro Poroshenko,na Victot Yanukovic kulikua Kuna amani na mahusiano mazuri baina ya Urusi na Ukraine.

Swali langu ni Kwa Nini Ukraine ya Sasa hawana shida na kujiunga na miungano ya kiuchumi na kisiasa kama Shanghai cooperation,G20 na EU,bali wanatamani kujiunga Kwa jasho na damu na umoja wa kijeshi na kivita wa NATO kwa Kila namna?

Hii ni akili ya namna Gani?

Kwa Nini NATO isiyo na faida kiuchumi? na kibaya zaidi inakugombanisha na jirani Yako?
Hii ni akili ya namna Gani?

Zelensky na Ukraine ya Sasa wamekusudia Nini na wana malengo Gani?na NATO
Kwani Kuna ulazima Gani na NATO badala na EU?
Do you know the meaning of a "Sovereign State", it's better to start from there.
 
Back
Top Bottom