Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 1,535
- 5,332
Kitu hiki kinanishangaza sana na kuona kua kumbe Kuna baadhi ya Viongozi wazungu ni wajinga sana.
Zelensky wa Ukraine ameng'ang'ania kutaka kujiunga na umoja wa kujihami kijeshi wa nchi za Magharibi ambao hauna faida yoyote ya kiuchumi na kisiasa zaidi ya ulinzi wa kijeshi.
Nashangaa kwa sababu Kuna nchi nyingi zilizokua umoja wa Soviet wala hazina haja na NATO na maisha yanaendelea vizuri TU,mfano Tajikistan,kyugistan, Georgia,Azebaijan,Beralus n.k
Ni kweli ukiangalia hakika NATO Haina msaada kiuchumi Bali kijeshi,je kwa Nini zelensky na Ukraine wanatamani sana kujiunga na NATO badala ya kutamani kujiunga na umoja wa Ulaya (European Union)?ambao kwa hakika unafaisa sana kiuchumi badala ya kijeshi?
Je zelensky na Ukraine Wana nia gani na Wana malengo gani ya
kivita na kijeshi?
Kabla ya hii vita na kabla ya mapinduzi ya Maidan na wakati wa Marais wa Ukraine wa kabla ya ya Zelensky akina Leonid kravchuk,Leonid kuchma ,Petro Poroshenko,na Victot Yanukovic kulikua Kuna amani na mahusiano mazuri baina ya Urusi na Ukraine.
Swali langu ni Kwa Nini Ukraine ya Sasa hawana shida na kujiunga na miungano ya kiuchumi na kisiasa kama Shanghai cooperation,G20 na EU,bali wanatamani kujiunga Kwa jasho na damu na umoja wa kijeshi na kivita wa NATO kwa Kila namna?
Hii ni akili ya namna Gani?
Kwa Nini NATO isiyo na faida kiuchumi? na kibaya zaidi inakugombanisha na jirani Yako?
Hii ni akili ya namna Gani?
Zelensky na Ukraine ya Sasa wamekusudia Nini na wana malengo Gani?na NATO
Kwani Kuna ulazima Gani na NATO badala na EU?
Zelensky wa Ukraine ameng'ang'ania kutaka kujiunga na umoja wa kujihami kijeshi wa nchi za Magharibi ambao hauna faida yoyote ya kiuchumi na kisiasa zaidi ya ulinzi wa kijeshi.
Nashangaa kwa sababu Kuna nchi nyingi zilizokua umoja wa Soviet wala hazina haja na NATO na maisha yanaendelea vizuri TU,mfano Tajikistan,kyugistan, Georgia,Azebaijan,Beralus n.k
Ni kweli ukiangalia hakika NATO Haina msaada kiuchumi Bali kijeshi,je kwa Nini zelensky na Ukraine wanatamani sana kujiunga na NATO badala ya kutamani kujiunga na umoja wa Ulaya (European Union)?ambao kwa hakika unafaisa sana kiuchumi badala ya kijeshi?
Je zelensky na Ukraine Wana nia gani na Wana malengo gani ya
kivita na kijeshi?
Kabla ya hii vita na kabla ya mapinduzi ya Maidan na wakati wa Marais wa Ukraine wa kabla ya ya Zelensky akina Leonid kravchuk,Leonid kuchma ,Petro Poroshenko,na Victot Yanukovic kulikua Kuna amani na mahusiano mazuri baina ya Urusi na Ukraine.
Swali langu ni Kwa Nini Ukraine ya Sasa hawana shida na kujiunga na miungano ya kiuchumi na kisiasa kama Shanghai cooperation,G20 na EU,bali wanatamani kujiunga Kwa jasho na damu na umoja wa kijeshi na kivita wa NATO kwa Kila namna?
Hii ni akili ya namna Gani?
Kwa Nini NATO isiyo na faida kiuchumi? na kibaya zaidi inakugombanisha na jirani Yako?
Hii ni akili ya namna Gani?
Zelensky na Ukraine ya Sasa wamekusudia Nini na wana malengo Gani?na NATO
Kwani Kuna ulazima Gani na NATO badala na EU?