Zelensky kwanini NATO na sio EU?

Sana ni jamaa jinga mno. Unajua wa Ukraine wengi ni kama wapemba wa bongo, hivi leo ukisema bara na visiwani tuuane na afaidike oman au Iran hivi ni akili???
Hamna kingingine ila oman oman
Kama mtu kipofu alipopona akaona simba ikawa kila kitu kwake kama simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…