Zelensky: Mafuta ya Urusi kutowekewa vikwazo kunagharimu maisha ya watu

Halafu media bwana, ukicheki vyombo vya west,utasema Mrusi kashachakazwa yupo anarudi Moscow ,wakati huyu mwamba ndiyo kwanza anaomba Mrusi ataitiwe asitishe kichapo.

Sasa,kuna haja gani ya kuudanganya ulimwengu kama raia wanateseka na kuangamia?
 
Pumbavu zake, hao raia wa Ukraine ndio bora zaidi kuliko raia wa nchi nyengine.

Huyu waache kumdekeza aachiwe apambane na hali yake.
Unga mkono Ukraine ukatae udikteta wa Putini na alia zake kwa kuua na kudhalilisha watu wasio na hatia
 
Aiseeee hz media zinatuchanganya

Mbona tunaambiwa Russia anakimbia mapambano na kazidiwa sana

Sasa aliezidiwa kuna haja gani ya kuwekewa vikwazo badala wamchape had kwake na wamnyang'anye alichonacho.
Ukraine inaangamia br. Hizo stories za kushindwa kwa warusi zipuuze
 
wawe wanasema ni mafuta ya gari au ya kupikia. Wanatuchanganya huku
 
Watanzania na waafrika tuna washabikia wayahudi lakini tujue ndio wabaguzi duniani.ushawahi ona mwafrika ana abudu zehebu lao?
Wapo wengi sana huko Ethiopia.
 
Unga mkono Ukraine ukatae udikteta wa Putini na alia zake kwa kuua na kudhalilisha watu wasio na hatia
Ungekuwa na akili ungepambana na udkiteta ulioko ndani ya nchi yako kabla hujawaza udkiteta wa putin.
 

MTZ 255Dar

Ulaya bado inanunua mafuta ya Urusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…