Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema Kiev ingependa kukomboa maeneo yaliyochukuliwa na Urusi kwa njia ya kidiplomasia, lakini Vladimir Putin amedhamiria kuendeleza mapambano ya kijeshi.
Zelensky amesema baada ya uvamizi wa Urusi kuanza, Ukraine ilifanikiwa kukomboa tena zaidi ya 50% ya eneo ambalo Putin alikalia, lakini hakutaka umwagaji damu uendelee.
Soma Pia: Hatimaye Zelensky akiri hadharani jeshi lake haliwezi kuyarejesha maeneo yake yaliyokombolewa na urusi
"Hatutaki kupoteza maisha ya watu zaidi, lakini hatuwezi kukubali unyakuzi wa ardhi yetu," Zelensky amesema.
"Hatutambui uvamizi huo kisheria, lakini tunataka kurejesha eneo lililonyakuliwa kidiplomasia badala ya hatua za kijeshi, akini Putin hataki kumaliza vita hivi."
Zelensky amesema baada ya uvamizi wa Urusi kuanza, Ukraine ilifanikiwa kukomboa tena zaidi ya 50% ya eneo ambalo Putin alikalia, lakini hakutaka umwagaji damu uendelee.
Soma Pia: Hatimaye Zelensky akiri hadharani jeshi lake haliwezi kuyarejesha maeneo yake yaliyokombolewa na urusi
"Hatutaki kupoteza maisha ya watu zaidi, lakini hatuwezi kukubali unyakuzi wa ardhi yetu," Zelensky amesema.
"Hatutambui uvamizi huo kisheria, lakini tunataka kurejesha eneo lililonyakuliwa kidiplomasia badala ya hatua za kijeshi, akini Putin hataki kumaliza vita hivi."