JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Imeelezwa kuwa uamuzi wa Urusi kuivamia Ukraine umeharibu hospitali nyingi na vituo vya matibabu hali iliyofanya madaktari kuwa na wakati mgumu katika kufanua huduma zao
Hayo yamesemwa na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy ambaye amesisitiza kuwa kuna vituo 400 vimeharibiwa na kuna changamoto kubwa ya matibabu na dawa hasa maeneo ya Mashariki na Kusini Nchini mwake yanayodhibitiwa na Urusi.
Aidha, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres amesema oparesheni ya tatu ya kuwahamisha raia kutoka mji wa Mariupol na kiwanda cha chuma cha Azovstal kilichozingirwa inaendelea
Guterres amesema, "Natumai maelewano kati ya Moscow na Kyiv kutatoa fursa zaidi ya njia salama kuruhusu raia kuondoka katika maeneo ya mapigano na misaada kuwafikia wahitaji. Lazima tufanye kila linalowezekana kuwaokoa watu hao wanaokabiliwa na mazingira magumu."
Source: Globalnews
=======
Nearly 400 Ukrainian medical centres destroyed, damaged in Russian attacks: Zelenskyy
Russia’s invasion of Ukraine has devastated hundreds of hospitals and other medical institutions and left doctors without drugs to tackle cancer or the ability to perform surgery, President Volodymyr Zelenskyy said.
Zelenskyy said many places lacked even basic antibiotics in eastern and southern Ukraine, the main battlefields.
“If you consider just medical infrastructure, as of today Russian troops have destroyed or damaged nearly 400 healthcare institutions: hospitals, maternity wards, outpatient clinics,” Zelenskyy said in a video address to a medical charity group on Thursday.
In areas occupied by Russian forces the situation was catastrophic, he said.
“This amounts to a complete lack of medication for cancer patients. It means extreme difficulties or a complete lack of insulin for diabetes. It is impossible to carry out surgery. It even means, quite simply, a lack of antibiotics.”
In one of the most widely denounced acts of the war, a maternity hospital was all but destroyed on March 9 in the besieged port city of Mariupol. Russia alleged pictures of the attack were staged and said the site had been used by armed Ukrainian groups.
The Kremlin says it targets only military or strategic sites and does not target civilians. Ukraine daily reports civilian casualties from Russian shelling and fighting, and accuses Russia of war crimes. Russia denies the allegations.
Pavlo Kyrylenko, governor of Donetsk region, said 25 people had been injured in intense shelling in the town of Kramatorsk, site of a railway station bombing last month in which more than 50 died. He said a total of 32 residential buildings had been damaged in the shelling.
Hayo yamesemwa na Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy ambaye amesisitiza kuwa kuna vituo 400 vimeharibiwa na kuna changamoto kubwa ya matibabu na dawa hasa maeneo ya Mashariki na Kusini Nchini mwake yanayodhibitiwa na Urusi.
Aidha, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Antonio Guterres amesema oparesheni ya tatu ya kuwahamisha raia kutoka mji wa Mariupol na kiwanda cha chuma cha Azovstal kilichozingirwa inaendelea
Guterres amesema, "Natumai maelewano kati ya Moscow na Kyiv kutatoa fursa zaidi ya njia salama kuruhusu raia kuondoka katika maeneo ya mapigano na misaada kuwafikia wahitaji. Lazima tufanye kila linalowezekana kuwaokoa watu hao wanaokabiliwa na mazingira magumu."
Source: Globalnews
=======
Nearly 400 Ukrainian medical centres destroyed, damaged in Russian attacks: Zelenskyy
Russia’s invasion of Ukraine has devastated hundreds of hospitals and other medical institutions and left doctors without drugs to tackle cancer or the ability to perform surgery, President Volodymyr Zelenskyy said.
Zelenskyy said many places lacked even basic antibiotics in eastern and southern Ukraine, the main battlefields.
“If you consider just medical infrastructure, as of today Russian troops have destroyed or damaged nearly 400 healthcare institutions: hospitals, maternity wards, outpatient clinics,” Zelenskyy said in a video address to a medical charity group on Thursday.
In areas occupied by Russian forces the situation was catastrophic, he said.
“This amounts to a complete lack of medication for cancer patients. It means extreme difficulties or a complete lack of insulin for diabetes. It is impossible to carry out surgery. It even means, quite simply, a lack of antibiotics.”
In one of the most widely denounced acts of the war, a maternity hospital was all but destroyed on March 9 in the besieged port city of Mariupol. Russia alleged pictures of the attack were staged and said the site had been used by armed Ukrainian groups.
The Kremlin says it targets only military or strategic sites and does not target civilians. Ukraine daily reports civilian casualties from Russian shelling and fighting, and accuses Russia of war crimes. Russia denies the allegations.
Pavlo Kyrylenko, governor of Donetsk region, said 25 people had been injured in intense shelling in the town of Kramatorsk, site of a railway station bombing last month in which more than 50 died. He said a total of 32 residential buildings had been damaged in the shelling.