Zelensky wa Ukraine afananishwa kiwasifuna Al-Sahaf (Baghdad Bob) wa Iraq

Zelensky wa Ukraine afananishwa kiwasifuna Al-Sahaf (Baghdad Bob) wa Iraq

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
Kama ulikuwepo kipindi cha vita ya pili ya Marekani nchini Iraq (2003 - 2011), inawezekana utamkumbuka Baghdad bob, Mohammed Saeed al-Sahaf, ambae alikuwa ni Waziri wa Habari wa Iraq na wakati huo huo ni mugizaji (part-time comedian).

Hadi hatua za mwisho mbaya wa kuanguka kwa serikali ya Iraq, al-Sahaf, alikuwa akitabiri kuwa uvamizi wa majeshi ya Marekani nchini Iraq utafeli. Yaani majeshi ya Saddam (Iraq) yatashinda vita ile. Kitu kilichokuwa kikiwaaminisha wengi juu ya yale aliyokuwa akiyasema au kutabiri ktk video zake alizoposti ni ile hali ya kujiamini na ukauzu. Alikuwa anauwezo wa kubadili, ktk mazungumzo na propaganda zake, uhalisia wa kushindwa kwa majeshi ya Iraqi akaita na kuaminisha umma kuwa ni Ushindi wa majeshi ya Iraq dhidi ya majeshi ya uvamizi.

Rais wa Ukraine Zelensky, ambaye aliwahi kuwa mwigizaji kabla ya kuukwaa urais, pia nae sasa hivi anapambana na majeshi ya uvamizi ya Russia. Amekuwa akipost tweets za kishujaa na video fupi fupi tokea ktk mji mkuu, Kyiv, ambao kwa sasa unaendelea kuzingirwa na majeshi ya Russia na kumiminiwa mabomu. Zelemsky anatangaza kuwa waUkraine watapambania uhuru wao mpaka mwisho na watashinda pia.

Wote wawili (Al-Sahaf na Zelensky) wanaonekana kuwa na misimamo ya kutoyumbishwa na changamoto. Ingawa Zelensky yeye anajitutumua kwa Russia huku akiomba msaada kwa Marekani na NATO, wakati Al-Sahaf (Baghdad Bob) alikuwa akimkazia Marekani na akiwataka waIraq wawe na imani juu ya Saddam na jeshi la Iraq kuwa watamwangamiza na kumshinda adui (majeshi ya Marekani).

Chanzo cha habari hii ni:

 
Miongoni mwa komenti zake bora kabisa Al-Sahaf (Baghdad Bob) akitabiri kuyashinda majeshi ya Marekani nchini Iraq

 
Ndugu kua na huruma hata kidogo na hiyo vita,unashabikia utazani ni Simba na yanga
 
Naikumbuka hii... Maneno ya jamaa yalikuwa hayaendani kabisa na muonekano wa vita. Kama nawaona mashabiki wa Mmarekani wanavyoumia muda huu, huu mchongo naujua huwa unakereketa sana 🤣
 
Sorry mleta mada, lakini je, ulitaka jamaa anyooshe mikono juu na kumuachia Russia aingie Ukraine kama mtu aingiavyo chumbani kwake? Unafikiri morali ya wanajeshi wa Ukraine itakuzwa vipi bila ya hizo ' komedi', propaganda? Yule ni rais, anajua kabisa chance ya kuishinda the mammoth Russia ni ndogo, lakini, kama rais anapaswa kuitetea nchi yake to the bitter or sweeter end.
 
Kama ulikuwepo kipindi cha vita ya pili ya Marekani nchini Iraq (2003 - 2011), inawezekana utamkumbuka Baghdad bob, Mohammed Saeed al-Sahaf, ambae alikuwa ni Waziri wa Habari wa Iraq na wakati huo huo ni mugizaji (part-time comedian).

Hadi hatua za mwisho mbaya wa kuanguka kwa serikali ya Iraq, al-Sahaf, alikuwa akitabiri kuwa uvamizi wa majeshi ya Marekani nchini Iraq utafeli. Yaani majeshi ya Saddam (Iraq) yatashinda vita ile. Kitu kilichokuwa kikiwaaminisha wengi juu ya yale aliyokuwa akiyasema au kutabiri ktk video zake alizoposti ni ile hali ya kujiamini na ukauzu. Alikuwa anauwezo wa kubadili, ktk mazungumzo na propaganda zake, uhalisia wa kushindwa kwa majeshi ya Iraqi akaita na kuaminisha umma kuwa ni Ushindi wa majeshi ya Iraq dhidi ya majeshi ya uvamizi.

Rais wa Ukraine Zelensky, ambaye aliwahi kuwa mwigizaji kabla ya kuukwaa urais, pia nae sasa hivi anapambana na majeshi ya uvamizi ya Russia. Amekuwa akipost tweets za kishujaa na video fupi fupi tokea ktk mji mkuu, Kyiv, ambao kwa sasa unaendelea kuzingirwa na majeshi ya Russia na kumiminiwa mabomu. Zelemsky anatangaza kuwa waUkraine watapambania uhuru wao mpaka mwisho na watashinda pia.

Wote wawili (Al-Sahaf na Zelensky) wanaonekana kuwa na misimamo ya kutoyumbishwa na changamoto. Ingawa Zelensky yeye anajitutumua kwa Russia huku akiomba msaada kwa Marekani na NATO, wakati Al-Sahaf (Baghdad Bob) alikuwa akimkazia Marekani na akiwataka waIraq wawe na imani juu ya Saddam na jeshi la Iraq kuwa watamwangamiza na kumshinda adui (majeshi ya Marekani).

Chanzo cha habari hii ni:

Kumbuka. Ukraine sio Iraq Wala Georgia.
 
UN Chief: Kuna uwezekano wa kutokea vita ya nyuklia

Screenshot_20220314-225316_Chrome.jpg


 
Naikumbuka hii... Maneno ya jamaa yalikuwa hayaendani kabisa na muonekano wa vita. Kama nawaona mashabiki wa Mmarekani wanavyoumia muda huu, huu mchongo naujua huwa unakereketa sana 🤣
Mashabiki wa US sasa hivi hawana jipya zaidi ya kusuuza rungu yaani kula tunda kimasihara
 
Kumbuka. Ukraine sio Iraq Wala Georgia
Ni kweli Ukraine sio Iraq (lakini haipishani na Georgia)! Lakini karibu miji yake yote muhimu imezingirwa! bandari zake zote zimezingirwa! Silaha zake zilizokuwa zimeletwa hivi karibuni zote zimeharibiwa pale kambi ya kijeshi iliyo mpakani na Poland iliposhambuliwa!! Anadanganya kuwa anaangusha ndege nyingi za urusi, kama ni hivyo mbona kila siku anaililia NATO iweke no fly zone kama mwenyewe anaweza kuzidondosha!!
Ndani ya siku chache zijazo atalazimika kukubali sharti la msingi LA urusi la kuondoa kabisa uwezekano wa Ukraine kujiunga na NATO!
 
Miongoni mwa komenti za kishujaa za Zelensky akitangaza kuwa watayashinda na kuyaangamiza majeshi ya Russia


Kilichowasaidia kidogo Ukraine ni urusi kuwekewa vikwazo vikubwa mno vya kiuchumi abavyo havijawahi kutokea! Pamoja na hayo wanajeshi wa Ukraine wanashinda kwenye mahandaki na kulala kwenye mahandaki na miji yao imezingirwa! Bandari zao zimezingirwa!! Kama wana uwezo walikiwa wapi hata wakazingirwa?
 
Back
Top Bottom