Nakubaliana na wewe,
Zembwela toka tulipomchana hapa jf kuwa elimu ni ndogo
naona amepiga piga kitabu sana, hivyo kwa sasa mambo yake ni mswano kabisa,
hongera sana dogo zembwela.
Jana niliangalia kipindi cha mkasi kinachooneshwa EATV ambapo jana mgeni wao alikua Zembwela na host wake kama kawaida alikua Salama Jabir.
Kiukweli zembwela alifunika sana hasa katika uwezo wa kujibu maswali na kutoa hoja kwa umakini. Kiukweli huwezi fananisha ile interrview na nyingine za mastaa wa bongo ambao hata ukiangalia unaeza shindwa kumaliza kipindi kwa jinsi wanavyoboa.
Zembwela ana uwezo wa kutoa mifano ambayo mingi iko critical, na haboi kuangaliwa.
Japo kuna mapungufu flani lakini comparing with other Bongo super - stars, he is better.
Ndo nani uyo?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
... kwa kuwa nachukia watu wanao NATA, wanachanganya kingereza na kiswahili kwenye mahojiano ya kiswahili. nakuunga mkono, kwakuwa jamaa alikuwa anajibu kwa kiswahili bila kuchanganya changanya.
sikuhizi ma supersta hata wasio jua kingereza, utasikia.... actuale, becose, problem, ....
amefanya vizuri jamaa
kuna yule dogo wakumuita Baruti ana akili sana...amemshepu Zembwela mpaka sasa akiongea unasikia logic ndani yake..sina uhakika sana na shule zao ila Baruti ukimsikiliza hauitaji kuuliza kama kaenda shule.
Na mimi nilipenda sana yale mahojiano, ila mimi kitu ambacho sikipendi kwenye kile kipindi, ni vijana wale John na Muba kuwa wanauliza maswali, sidhani kama wana ujuzi wa kuuliza maswali.
tid ndio aliye funika kwa ku boa. ila zembwela ki ukweli kafanya vizuri sana.ngoja tumngoje diamond wiki ijayo coz kwenywe tangazo kaulizwa kua mara ya mwisho kafanya mapenzi lini akasema jana.inamaana huyu dogo ni mnzinzi mwambo mwisho.wenzake wanatubu mwezi huu yeye ndo anajitangaza kwenye tv.
Jana niliangalia kipindi cha mkasi kinachooneshwa EATV ambapo jana mgeni wao alikua Zembwela na host wake kama kawaida alikua Salama Jabir.
Kiukweli zembwela alifunika sana hasa katika uwezo wa kujibu maswali na kutoa hoja kwa umakini. Kiukweli huwezi fananisha ile interrview na nyingine za mastaa wa bongo ambao hata ukiangalia unaeza shindwa kumaliza kipindi kwa jinsi wanavyoboa.
Zembwela ana uwezo wa kutoa mifano ambayo mingi iko critical, na haboi kuangaliwa.
Japo kuna mapungufu flani lakini comparing with other Bongo super - stars, he is better.
mkuu kuchanganya lugha ni makosa katika mawasiliano ya kawaida au mazungumzo ya mtu na mtu tofauti na mambo ya kiofisi au sehemu rasmi ni makosa mkuu?? hapa siwazungumzii wale wanaojifanya kama wanajua nazungumzia kwa mazingira ya kawaida tu maana hata mimi huwa najikuta nachanganya lugha hadi la kabila langu hapo nina makosa? funguka mkuu unisaidie kwa hili kama ni kosa kwa jamii.
Kuchanganya lugha "code mixing" ni makosa ya kimazungumzo ambayo mara nyingi hutokea katika hali tofauti zifuatazo.
1. Makusudi - Kama mzungumzaji anataka kuonesha jinsi alivyo mlumbi lugha (mjuzi/ mweledi wa lugha mbalimbali)
2. Bahati mbaya - kama mzungumzaji anajaribu kuzungumza lugha ambayo bado hajaimudu vizuri.
3. Ulimbukeni - pale mtu anapodhani kuchanganya lugha ndio ujanja na unamletea heshima miongoni mwa wasikilizaji. Mf - msajili wa vyama.
Sasa wewe, uko kwenye kundi gani?!
tid ndio aliye funika kwa ku boa. ila zembwela ki ukweli kafanya vizuri sana.ngoja tumngoje diamond wiki ijayo coz kwenywe tangazo kaulizwa kua mara ya mwisho kafanya mapenzi lini akasema jana.inamaana huyu dogo ni mnzinzi mwambo mwisho.wenzake wanatubu mwezi huu yeye ndo anajitangaza kwenye tv.
kuna yule dogo wakumuita Baruti ana akili sana...amemshepu Zembwela mpaka sasa akiongea unasikia logic ndani yake..sina uhakika sana na shule zao ila Baruti ukimsikiliza hauitaji kuuliza kama kaenda shule.