<br />
<br />
Antivirus vol. 2 imetoka last week wewe
kwanza hukua specific kwenye heading yako, and to answer that one, album haiandaliwi kama we we unavyoandaa posts za jf
Artists anaweza akatoa nyimbo leo aliyoandika 10-20 years ago
beats anaandaa producer na kukutana na artists studio tu
a combination makes a song/album
nijuavyo mimi kama walishaandika lyrics sugu hakuhitaji hata siku tatu kuingiza vocal na baadae kuwaacha maprodyuza wakichanganya na kuedit au kureview
lets say 5 days
sasa jiulize mawaziri wako tunaowakuta club 84 tena wakiwa na wake za watu hadi asubuhi na kutwa mnadani, chako ni chako tena kipindi cha bunge wanatoa wapi muda wa kusoma hata makabrasha ya bunge??? ndio mwisho wake wanaishia kulala kama pono bungeni na ushahidi wa picha upo
Just try to be smarter when building hoja or something.... Kuhusu zembwela, sidhani kama amemchana sugu, bali ameuliza huyu jamaa anapata wapi muda? which is a genuine question to anyone
Pia ukiwa kama mtanzania ni lazima uelwe kwamba mbunge kazi yake ya kwanza ni uwakilishi na sio kuzibua mitaro na kuchimba vyoo... yeye kazi yake ni kuwakilisha wananchi kwa watunga sheria na wapanga mipango ya maendeleo
Ningekua wewe ningejiuliza hivi RAS, DED, DC, regional/district management team wanfanya nini? kwani hata mapato na matumizi yanakua mikononi mwao?? wabunge na madiwani ni wasimizi zaidi na si watendaji?? na ukihoji anasiamamia nini sasa kama hakuna maendeleo ntakujibu serikali iliyo madarakani ni ya chama kipi hadi watu wanabaki hovyo?
NOW, HIVI RAIS WETU ANAPATA WAPI MUDA WA KUSAFIRI VILE WAKATI NCHI IMECHOKA HIVI??
WAKATABAHU