Zembwela hataki siasa

baharia Ar

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2013
Posts
837
Reaction score
316
Leo katika kipindi chake cha super mix amediliki kusema yeye hataki siasa. Hivi huyu mtu anajitambua kweli? Mimi ni shabiki wake na kila siku nilazima nimsikilizage Ila leo ameniacha hoi.

Hivi siasa ni nini? Bila siasa yeye angevaa mtumba? Waamuzi wa dunia hii ni kinanani kama sio wana siasa?Zembwela kaka usiuze utu wako.
 


Anatakiwa asome huu ujumbe muruwa:
 

Attachments

  • 1441007339055.jpg
    30.3 KB · Views: 570
Siasa ndio huendesha maisha yetu, kuifatilia si ujinga
 

Achha uzuzzu wewe!!..nyinyi ndo mnaachaga kazi na kwenda kupigwa na jua jangwani eti kisa tunataka fulani awe rais!!..wakati akiingia ikulu hatokujua wewe wala babaako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…