johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Watangazaji nguli nchini Zembwela, Kitenge na Hando Leo wameuponda sana Uhamisho wa Mchungaji Msigwa Kutoka Chadema kwenda CCM
Kupitia Wasafi FM Zembwela amesema mchungaji Msigwa Leo ndio anaona Maamuzi ya Chadema hutolewa na Mbowe Peke yake Wakati yuko Chadema Kwa Miaka 20 sasa
Naye Kitenge amesema Wanasiasa wawe wanahama kwa amani tu na Siyo kutafutiza vijisababu vya kutudanganya
Source: WASAFI FM
Kupitia Wasafi FM Zembwela amesema mchungaji Msigwa Leo ndio anaona Maamuzi ya Chadema hutolewa na Mbowe Peke yake Wakati yuko Chadema Kwa Miaka 20 sasa
Naye Kitenge amesema Wanasiasa wawe wanahama kwa amani tu na Siyo kutafutiza vijisababu vya kutudanganya
Source: WASAFI FM