zembwela kawa mtangazaji? Khaa! Radio gani?
Hatari sana hii kama ni kweli.
Wanaforum sometimes i don't understand Some JF member coz some are pathetic and time wasters who can tarnish your name.
These people writing non-sense all the time instead of working towards bettering their life you they are busy writing non-sense. You can name few members if you like!
Stop yapping and just appreciate the guy. Most Tanzanians have a degree of seeing others have fallen down but guess what? It's God who has our destiny..
All I can say is, may God help you realize yourself coz if you don't you will die thinking about this guy who doesn't even know you and got no time for people of your calibre..
Get a life!!
Zembwela kawa mtangazaji? Khaa! Radio gani?
Hatari sana hii kama ni kweli.
Najua kama binadamu una mapungufu yako ya kibinadamu.
Lakini kwenye kazi yako unafanya vizuri sana na unaweza kufanya vizuri zaidi iwapo tu utaenda shule ya kitaaluma.
Hii itasaidia sana kwako kukuongezea ujuzi, ufahamu, uelewa na uwezo wa kuchanganua mambo, kujenga hoja, kuilinda na kuitetea.
Kwa sasa unaboa sana, watu wanadhani una chuku binafsi, lakini tatizo lako sio chuki binafsi ila huna ufahamu ndio maana wajanja wanakutumia kwa manufaa yao binafsi bila ya wewe kujijiua na halii hii inapelekea heshima na utu wako mtaani kushuka na kudorora kila uchao
Najua kama binadamu una mapungufu yako ya kibinadamu.
Lakini kwenye kazi yako unafanya vizuri sana na unaweza kufanya vizuri zaidi iwapo tu utaenda shule ya kitaaluma.
Hii itasaidia sana kwako kukuongezea ujuzi, ufahamu, uelewa na uwezo wa kuchanganua mambo, kujenga hoja, kuilinda na kuitetea.
Kwa sasa unaboa sana, watu wanadhani una chuku binafsi, lakini tatizo lako sio chuki binafsi ila huna ufahamu ndio maana wajanja wanakutumia kwa manufaa yao binafsi bila ya wewe kujijiua na halii hii inapelekea heshima na utu wako mtaani kushuka na kudorora kila uchao
Huyu aliyeuliza Zembwela amesoma wapi na wengine kusema sijui kasoma wapi na wapi...uchunguzi wangu mdogo unaonyesha alishawahi kusoma Ilboru tena ile ya zamani..KWA KIFUPI ANA KIPAJI MAALUM...ACHENI LONGO LONGO KABISA..NA I BET HATA LEO MTAMSIKILIZA..ZEMWELA KAZA BUTI .. WASIKILIZAJI TUTACHANGIA..CHUJA YALIYOONGELEWA NA FIKIRIA MAENDELEO..
KUMBUKA NO BODY KICKS A DEAD DOG BWANA....
Well said! Wako wasomi wangapi wanashindwa kufanya kazi kutokana na usomi wao. Zembwela ana kipaji kuna wanaompenda kwa kazi yake. Zembwela keep it up mimi napenda kipindi chako kinafurahisha kinaburudisha wewe chapa mzigoWakuu nimegundua tunatatizo kubwa sana la kutokuwa na exposure juu ya mambo mbali mbali
Watu tumezoea kuangalia na kusikilza CNN, BBC, ELJAZIRA nk na tunadhani wanavyotangaza hawa ndio tv na radio station zote dunia ndio zinavyotangaza.
Jamani huko mbeleni kwenye ustaarabu wa dunia tunako copy kilakitu kuna hadi vichaa wanatangaza radio na tv, inategemea na tv gani na programu gani
Kuna watangazaji hawajasoma kabisa usa na uk lakini ni maarufu na mamilionea wakubwa kutokana na vipindi vyao
EA radio ni radio ya starehe na Zembwela ni komediani na yupo pale kwa yale unayoyaona anayafanya na ndio yalimpa sifa ya kuajiriwa pale(ingawa hupendi), na kuna wenzako haipiti siku bila kukisikiliza na kupiga simu kipindi kile ili tu asikie Zembwela atasema nini, ndio burudani yao
Kuna radio na tv programu nyingi sana hapa bongo
Its a matter of being in right place at right time badala ya kuja hapa na kufungua mi sredi ya malalamiko tuuu wakati wenzenu wana meet target zao
Kalaghabaho