Zembwela yuko vizuri katika kipindi cha Uswazi

Kifai

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2013
Posts
816
Reaction score
173
Ebana huyu mchizi anaweza sana hiki kipindi cha Uswazi, Zembwela we mbaya. Big up Zembwela.
----------------

Mtangazaji wa kipindi cha redio HOTMIX na television USWAZI vinavyorusha na EATV Zembwela amekuwa mhusika mzuri wa kipindi cha USWAZI kwa kuvaa uhalisia wa uhusika kuanzia mazingira yote hasa ya uswazi anapoaandaa kipindi chake..

Huyu jamaa anastahili heshima za kutosha kwa kuwa mtangazaji bora wa hiki kipindi...
 
Huyu jamaa ni noma, anamaujanja mengi sana, huwa nahuzunika nikimkumbuka mwenzie- Max (R. I. P).
Zembwela na Max (R. I. P) walitengeneza timu kali sana.
 
:coffee:Sio mbayaaaaaaa hata kidogo ni mzuriiiii bhanaaa. unamsifia halafu anasema tena mbayaaaaa:nono: ha ha ha.....hizi mtu anaweza kupewa sifa kwa namna yeyote eeh. hata kwa kumtusi inafaa kumbe amepewa big up
ebana huyu mchizi anaweza sana hiki kipindi cha uswazi, zembwela we mbayaaaaaaaaaa, big up zwmbwela
 
musa hawezi fua dafu kwa zembwela hata robo yake, atasubiri saaaaaaaaana
 
Kavivaa viatu vya Musa vilivyo mpka vionaonyesha viatu hivyo vina mbana kiasi cha kuchanika,huyu jamaa Mungu kamjalia kipawa cha hali ya juu
 
anajitambua anakipaji.Yuko vizuri.hope he is the best Radio/Tv presenter
 
Kavivaa viatu vya Musa vilivyo mpka vionaonyesha viatu hivyo vina mbana kiasi cha kuchanika,huyu jamaa Mungu kamjalia kipawa cha hali ya juu

Hapo ndipo Unapoambiwa Kuwa Kusoma Siyo Kigezo cha Kuwa na Ufanisi Kazini. Zembwela hana hata Elimu Kubwa Vile na Ya Uandishi wa Habari ila Ana Kipaji cha Hali Ya Juu na Anajua Sana Kuvaa Uhusika wa Kipindi na Hutochoka Either Kumtizama Or Kumsikiliza na Uchakaramu Wake Wa Kikomedi Ndiyo Unaboresha Sana Vipindi Vyake. Ushauri Wangu tu Kwake na Kwa Management Nzima ni Kwamba Ni Kweli Kipaji ni Kitu Muhimu ila Kipaji + Elimu = MAFANIKIO BORA na UFANISI ZAIDI, Hivyo Wajitahidi Wampeleke Shule Zembwela. Binafsi Namkubali Sana na Namtakia Kila la Kheri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…