Inanambo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 4,039
- 2,840
ILIKUWA LEO ASUBUHI MUDA WA SAA NNE HIVI KWENYE KIPINDI CHAO CHA SUPER MIX. MARA WAKAWEKA BONGO FLAVA YA MSANII ALIYEIMBA MUHOGO WAKO MTAMU NA ANDAZI WEEE KWA HAMIRA. WIMBO ULIPOISHA WAKAANZA KUJADILI WAKIULINGANISHA NA ULE WA, NJENJE WELEDI WAKE KWENYE KUTUNGA KUIMBA NA KUCHEZA. MARA Zembwela ambaye sometime huwa namkubali akamwambi Maiki siku hizi waimbaji wa Bongo flava ni kama karata. kuna JOKERY panda) na ARUBA SITINI. Kwa hao wanaoghani mashairi ya muhogo mtamu na andazi ni Jokery ndani ya Karata. Ila waimbaji kama kina Lady JAYDEE, NJENJE na TID. NILIMWELEWA KWAMBA KUNA NYIMBO HAZINA FAIDA NA NYINGINE ZINA FAIDA HATA ZIKIPIGWA BAADA YA MIAKA 10 BADO NI TAMU MASIKIONI. KWA HIYO TAFADHALI WASANII WA BONGO FLAVA TUNGENI NYIMBO ZENYE UJUMBE SIYO MUHOGO MTAMU NA ANDAZI WEEE.