Waswahili wanasema tafuta pesa uzitumie na mimi leo baada ya job la wiki nzima nimeona bora nivute chombo moja matata nijilie vyangu,
Zero IQ mimi siyo mnywaji wa pombe,siyo mlaji wa misosi mikali kama pizza,bugger na mingine mingi ya gharama,
Na wala siyo mpenzi wa kwenda Club na disco sasa kama ulikuwa unategemea kunikuta hayo maeneo futaaa.
Mimi zangu ni mbunye tu Asubuhi nikiamka nipe niisasamue,mchana we nipe na jioni nikirudi nipe niisasamue aswaa hiyo ndio Starehe yangu mimi,
Leo ni weekend na sina mahala pa kwenda nimeshamvutia uzi demu wangu wa pale maeneo na tayari kashatimba gheto soon naianza Starehe yangu Pendwaaaaaa.
View attachment 881637