Zerobrainer ni Mtanzania? Anaishi wapi?

Zerobrainer ni Mtanzania? Anaishi wapi?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001

Huyu jamaa ni moja ya watu wenye vipaji na amekuja tofauti kabisa na comedian tuliowazoea. Comedian wenye hutumia maneno kuchekesha, lakini yeye anafanya komedi ya soka

Je, ni nani huyu mtu? Namuona huvaa jezi ya Taifa Stairs kwenye clips zake, bila shaka ni mtanzania, sina hakika. Lakini anaishi wapi? Mbona clips zake hutumia zaidi Kingereza badala ya Kiswahili?

Naomba kujua
 
Ana Kijiji chake huko YouTube.

Huyu jamaa anatuwakilisha wa bongo huko nje kama anavyofanya Kili Paul,yule mmasai anayeimba Nyimbo za kihindi.

Ni mbongo huyu jamaa,wakenya wanatuonea wivu sana kwenye komenti section huko YouTube. Kama kawaida yao wanakataa siyo mbongo,ni mkenya.
 
View attachment 3033029
Huyu jamaa ni moja ya watu wenye vipaji na amekuja tofauti kabisa na comedian tuliowazoea. Comedian wenye hutumia maneno kuchekesha, lakini yeye anafanya komedi ya soka

Je, ni nani huyu mtu? Namuona huvaa jezi ya Taifa Stairs kwenye clips zake, bila shaka ni mtanzania, sina hakika. Lakini anaishi wapi? Mbona clips zake hutumia zaidi Kingereza badala ya Kiswahili?

Naomba kujua
Kijana huyu anapatikana Mbezi, Msumi.

Nilishawahi kuelekezwa mitaa anayo kaa. Ukifika Mbezi ya Magufuli unauliza tu Msumi ni wapi. Ukifika Msumi uliza kituo Cha Mfenesini. Pale mtu yeyote anamfahamu.

Anajitahidi sana.
 
View attachment 3033029
Huyu jamaa ni moja ya watu wenye vipaji na amekuja tofauti kabisa na comedian tuliowazoea. Comedian wenye hutumia maneno kuchekesha, lakini yeye anafanya komedi ya soka

Je, ni nani huyu mtu? Namuona huvaa jezi ya Taifa Stairs kwenye clips zake, bila shaka ni mtanzania, sina hakika. Lakini anaishi wapi? Mbona clips zake hutumia zaidi Kingereza badala ya Kiswahili?

Naomba kujua
Du, mbona haichekeshi? Bongo bwana!
 
Kutumia sana Kiingereza nadhani kaanza wiki ama miezi ya karibuni tu bila shaka baada ya kuona ana Wafuatiliaji wengi ambao ni Non-Swahili speakers!
 
Atafika mbali namuonaga Tiktok amekuwa maarufu sana nchi zote za Africa na nje ya Africa ana followers wanamfuatilia
 
Commedy sio kichekesha tu. Ni kielimisha na kuburudisha pia.
Nakubaliana na wewe. Ila haya uliyosema yanatakiwa kufukiwa kwa njia ya kuchekesha. Yaani comedy ni kufikisha ujumbe wowote kwa njia ya kuchekesha. Key word ni kuchekesha. Vinginevyo kama unataka kuelimisha kwa nini usitumie njia ya kawaida za kuelimisha tu? Au kama unataka kuburudisha, kwa nini usitumie njia za kawaida za kutoa burudani tu?
 
Nakubaliana na wewe. Ila haya uliyosema yanatakiwa kufukiwa kwa njia ya kuchekesha. Yaani comedy ni kufikisha ujumbe wowote kwa njia ya kuchekesha. Key word ni kuchekesha. Vinginevyo kama unataka kuelimisha kwa nini usitumie njia ya kawaida za kuelimisha tu? Au kama unataka kuburudisha, kwa nini usitumie njia za kawaida za kutoa burudani tu?
Commedy limebeba mambo mengi. Sio uchekeshaji tu.
 
Back
Top Bottom