Zeutamu haifanyi kazi.

Status
Not open for further replies.

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,048
Reaction score
22,790
Nilikuwa napitia kule kwenye makabrasha nikafungua zeutamu-dot-com, lakini ikanikatalia. Nikajaribu tena na tena bila mafanikio, je kulikoni? wamebadili jina?
 
ndio wana linki nyingine sa ivi)))huko wanasiasa kibao wameshaumbuluwa nikupe linki???
 
Nilikuwa napitia kule kwenye makabrasha nikafungua zeutamu-dot-com, lakini ikanikatalia. Nikajaribu tena na tena bila mafanikio, je kulikoni? wamebadili jina?
tehe tehe tehe lol
 
Haloo?

Kabla sijakuwa mwanachama wa JF nilikua na bado naheshimu mchango wao na sasa wetu katika kulisongesha gurudumu hili, najua kwa pamoja mimi na ninyi tunaweza kutengeneza historia na kujijengea heshima katika jamii iliyopo, inayochipukia na itakayokuja baadae. Nasema ahsante kwa niaba yetu sote.

Lakini kuna watu inawezekana ni utoto, pia ikawa ignorance, au saa zingine ikawa kutokuweza kutumia akili zao vizuri na kujikuta wanatumia jamvi kujadili utu.......

Guys what wrong with you?

Kichuguu, Nyani, Kibongoto.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…