TTCL Customer Care
Official Account
- Aug 18, 2016
- 279
- 317
Iko slow ??? Mbona mm IPO na kasi nzuri ya 4G labda eneo unaloishi ndio tatizoTtcl jirekebisheni mbona internet yenu iko very slow mna kwama wapi aisee
Hapa Dar inasumbua mno bora ningekuwa huko interior mwa Tanganyika ni hapa DaslamIko slow ??? Mbona mm IPO na kasi nzuri ya 4G labda eneo unaloishi ndio tatizo
Hata mimi imenishangaza sanaa...kuna wachoraji wazuri sana. Lakini hapo mtu alitumwa akatafute picha akapiga cha juu, kama kawaida yetu.Hiyo painting yenye Mount Kilimanjaro imechorwa na mtoto ama mtu Mzima?
Hata mimi imenishangaza sanaa...kuna wachoraji wazuri sana. Lakini hapo mtu alitumwa akatafute picha akapiga cha juu, kama kawaida yetu.
Wengi tumeshangaa, wameshindwa kuendesha kampuni, wakashindwa hata kupata mchoraji mzuri!! Picha ipo kama mwanasesere! Kaulize bei waliyonunulia hiyo picha utachokaHiyo painting yenye Mount Kilimanjaro imechorwa na mtoto ama mtu Mzima?
Kachora mbunge wa Kigamboni, Faustine NdugulileHiyo painting yenye Mount Kilimanjaro imechorwa na mtoto ama mtu Mzima?
Si wamenunua pale nje ya ofisi ya Mkuki na NyotaWengi tumeshangaa, wameshindwa kuendesha kampuni, wakashindwa hata kupata mchoraji mzuri!! Picha ipo kama mwanasesere! Kaulize bei waliyonunulia hiyo picha utachoka
Kama eneo analoishi ni tatizo basi TTCL ni tatizo.Hawajaweza kufika maeneo yote.Iko slow ??? Mbona mm IPO na kasi nzuri ya 4G labda eneo unaloishi ndio tatizo
Hata mimi imenishangaza sanaa...kuna wachoraji wazuri sana. Lakini hapo mtu alitumwa akatafute picha akapiga cha juu, kama kawaida yetu.
Wengi tumeshangaa, wameshindwa kuendesha kampuni, wakashindwa hata kupata mchoraji mzuri!! Picha ipo kama mwanasesere! Kaulize bei waliyonunulia hiyo picha utachoka
Kachora mbunge wa Kigamboni, Faustine Ndugulile