Ajira siku hizi mkuu haijali ueledi wa taasisi husika. Zamani kila aliyeajiliwa alipaswa kwenda chuo cha taasisi husika kupikwa kwanza.TTCL customer care wakizidiwa wanaanza kulaumiana wao kwa wao mbele ya mteja kama waigizaji fulani, hawana kawaida kuitana chemba kuyajenga, sijui mwalimu wao ni nani, nashauri wawe na mafunzo kazini
Hiyo nafikiri ni michoro ya Tinga Tinga inakuaga hivo.Hiyo painting yenye Mount Kilimanjaro imechorwa na mtoto ama mtu Mzima?
Kubalini pale mnapokosea ili mjirekebishe! Acheni ujuaji. Hamtafika mbali kwa Staili ya kila kitu mnajuwa nyie wafànyakazi.Iko slow ??? Mbona mm IPO na kasi nzuri ya 4G labda eneo unaloishi ndio tatizo
Sawa bwana P. KagameBi Paula ni mtaalam wa teknolojia za aina mbalimbali katika sekta ya mawasiliano khasa systems design.
Waziri Ndugulile usisiste kumtumia kwa kumuomba msaada wa kitaalam kuongeza uwezo wa TTCL kuwa imara nchini.
Hatari hao, wamepigana wenyewe kwa wenyewe.Rwanda siyo wa kuwaamini sana...
Bora wamekuja katika utawala wa Samia, ingelikuwa enzi za utawala wa Magufuri,ulisikia maneno yanayo semwa humu kwenye uzi huu,Mala nchi inaongozwa Kagame, Mambo mengi, Jamani Magufuri alikuwa na wapinzani,bora Mungu alimwondoa, maana kidogo asingiziwe kuwa ndiye alileta corona 😃😃😂ZIARA: Waziri wa TEHAMA na Ubunifu wa Rwanda Mhe. Paula Ingabire atembelea ofisi za TTCL ikiwa ni ziara ya kuimarisha Mahusiano katika sekta ya Mawasiliano na kukuza biashara.
#RudiNyumbaniKumenoga
Hiyo painting yenye Mount Kilimanjaro imechorwa na mtoto ama mtu Mzima?
Rwanda siyo wa kuwaamini sana...
YesTTCL ni mmoja wa wabebaji wa internet inayotumika Rwanda kupitia NICTBB
Rwanda siyo wa kuwaamini sana...