Ziara ya Bi. Maida Springer na Julius Nyerere Zanzibar 1957

Ziara ya Bi. Maida Springer na Julius Nyerere Zanzibar 1957

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
JULIUS NYERERE, ZUBERI MTEMVU NA BI. MAIDA SPRINGER ZANZIBAR 1957

Nimekutana na Bi. Maida Springer katika nyaraka za Sykes miaka mingi iliyopita

Leo nimepokea makala kutoka watu mbalimbali zote zikieleza hotuba ambayo Julius Nyerere alitoa Zanzibar tarehe 1 February 1957 akiwa ameongozana na Zuberi Mtemvu na Bi. Maida Springer.

Nyerere na ujumbe wake makala inaeleza walikuwa wageni wa African Association iliyokuwa ikiongozwa na Abeid Amani Karume.

Katiba hotuba hiyo aliyotoa usiku wa saa tatu Kisimama Majongoo Nyerere alisema, '' Sisi ni watu wawili tunataka kufyeka pori na pori hilo sharti tuwe na panga na bei ya panga ni shilingi tatu na sisi ni watu wawili kila mmoja ana shilingi moja.

Je ile shilingi ya tatu tutaipata wapi?

...sisi tunataka kufyeka mwitu huo tuwe sote mkono mmoja, tuungane tuchange tununuwe panga, ndipo tutapo weza kuweka safi huu mwitu, huu ni wakati wa kuwa pamoja.

Waafrika wasijiweke nyuma tena, kuna mambo mengi yanayoturejesha, hata majumba tuyakaayo sisi yanaonesha hali mbaya.

Hao wenzetu wa Amerika ni matajiri wa kweli, wazee wangu na ndugu zangu nawaambia tufanikiwe, mkifanikiwa nyinyi na sisi tutafanikiwa, tena hata sisi tukifuzu na nyinyi mtafuzu bila ya shaka.

Tuondoe hiki kizingiti cha upotovu tuwe sote sauti moja.''

...ndipo ilipo amuliwa kuunganisha chama cha Shirazi Association na African Association ili kuundwa Afro Shirazi Party (ASP)...''

Hii ilikuwa TANU mwaka wa 1957.

Huyu alikuwa Julius Nyerere mwaka wa 1957 viongozi wanakijenga chama Tanganyika na wakati huo huo kujaribu kuisaidia Zanzibar kuasisi chama.

Lakini Zanzibar kulikuwa na chama cha kupigania uhuru wa Zanzibar, Zanzibar Nationalist Party (ZNP).

Kwa nini Julius Nyerere alitaka kuwepo na chama kingine?
PICHA: Bi. Maida Springer.

Screenshot_20210926-065500_Facebook.jpg
 
JULIUS NYERERE, ZUBERI MTEMVU NA BI. MAIDA SPRINGER ZANZIBAR 1957

Nimekutana na Bi. Maida Springer katika nyaraka za Sykes miaka mingi iliyopita

Leo nimepokea makala kutoka watu mbalimbali zote zikieleza hotuba ambayo Julius Nyerere alitoa Zanzibar tarehe 1 February 1957 akiwa ameongozana na Zuberi Mtemvu na Bi. Maida Springer.

Nyerere na ujumbe wake makala inaeleza walikuwa wageni wa African Association iliyokuwa ikiongozwa na Abeid Amani Karume.

Katiba hotuba hiyo aliyotoa usiku wa saa tatu Kisimama Majongoo Nyerere alisema, '' Sisi ni watu wawili tunataka kufyeka pori na pori hilo sharti tuwe na panga na bei ya panga ni shilingi tatu na sisi ni watu wawili kila mmoja ana shilingi moja.

Je ile shilingi ya tatu tutaipata wapi?

...sisi tunataka kufyeka mwitu huo tuwe sote mkono mmoja, tuungane tuchange tununuwe panga, ndipo tutapo weza kuweka safi huu mwitu, huu ni wakati wa kuwa pamoja.

Waafrika wasijiweke nyuma tena, kuna mambo mengi yanayoturejesha, hata majumba tuyakaayo sisi yanaonesha hali mbaya.

Hao wenzetu wa Amerika ni matajiri wa kweli, wazee wangu na ndugu zangu nawaambia tufanikiwe, mkifanikiwa nyinyi na sisi tutafanikiwa, tena hata sisi tukifuzu na nyinyi mtafuzu bila ya shaka.

Tuondoe hiki kizingiti cha upotovu tuwe sote sauti moja.''

...ndipo ilipo amuliwa kuunganisha chama cha Shirazi Association na African Association ili kuundwa Afro Shirazi Party (ASP)...''

Hii ilikuwa TANU mwaka wa 1957.

Huyu alikuwa Julius Nyerere mwaka wa 1957 viongozi wanakijenga chama Tanganyika na wakati huo huo kujaribu kuisaidia Zanzibar kuasisi chama.

Lakini Zanzibar kulikuwa na chama cha kupigania uhuru wa Zanzibar, Zanzibar Nationalist Party (ZNP).

Kwa nini Julius Nyerere alitaka kuwepo na chama kingine?
PICHA: Bi. Maida Springer.

View attachment 1953225
Je huyu Bi. Maida alikua ni nani katika hivi vyama viwili. Je? yupo hai hadi Leo?
 
JULIUS NYERERE, ZUBERI MTEMVU NA BI. MAIDA SPRINGER ZANZIBAR 1957

Nimekutana na Bi. Maida Springer katika nyaraka za Sykes miaka mingi iliyopita

Leo nimepokea makala kutoka watu mbalimbali zote zikieleza hotuba ambayo Julius Nyerere alitoa Zanzibar tarehe 1 February 1957 akiwa ameongozana na Zuberi Mtemvu na Bi. Maida Springer.

Nyerere na ujumbe wake makala inaeleza walikuwa wageni wa African Association iliyokuwa ikiongozwa na Abeid Amani Karume.

Katiba hotuba hiyo aliyotoa usiku wa saa tatu Kisimama Majongoo Nyerere alisema, '' Sisi ni watu wawili tunataka kufyeka pori na pori hilo sharti tuwe na panga na bei ya panga ni shilingi tatu na sisi ni watu wawili kila mmoja ana shilingi moja.

Je ile shilingi ya tatu tutaipata wapi?

...sisi tunataka kufyeka mwitu huo tuwe sote mkono mmoja, tuungane tuchange tununuwe panga, ndipo tutapo weza kuweka safi huu mwitu, huu ni wakati wa kuwa pamoja.

Waafrika wasijiweke nyuma tena, kuna mambo mengi yanayoturejesha, hata majumba tuyakaayo sisi yanaonesha hali mbaya.

Hao wenzetu wa Amerika ni matajiri wa kweli, wazee wangu na ndugu zangu nawaambia tufanikiwe, mkifanikiwa nyinyi na sisi tutafanikiwa, tena hata sisi tukifuzu na nyinyi mtafuzu bila ya shaka.

Tuondoe hiki kizingiti cha upotovu tuwe sote sauti moja.''

...ndipo ilipo amuliwa kuunganisha chama cha Shirazi Association na African Association ili kuundwa Afro Shirazi Party (ASP)...''

Hii ilikuwa TANU mwaka wa 1957.

Huyu alikuwa Julius Nyerere mwaka wa 1957 viongozi wanakijenga chama Tanganyika na wakati huo huo kujaribu kuisaidia Zanzibar kuasisi chama.

Lakini Zanzibar kulikuwa na chama cha kupigania uhuru wa Zanzibar, Zanzibar Nationalist Party (ZNP).

Kwa nini Julius Nyerere alitaka kuwepo na chama kingine?
PICHA: Bi. Maida Springer.

View attachment 1953225
Matukio ya mauaji 1964 -> muungano -> Zanzibar imetoweka kama taifa. Nadhani ni wazi nia na lengo la Nyerere dhidi ya Zanzibar (waislamu).
 
Je huyu Bi. Maida alikua ni nani katika hivi vyama viwili. Je? yupo hai hadi Leo?
From: Wikipedia

1643366836132.png


Maida Springer Kemp (1910 – 2005) was an American labor organizer who worked extensively in the garment industry for a lot of labor standards at the time for men and women in America through the Local Union 22. She was also known for her extensive work in Africa for the AFL–CIO. Nicknamed "Mama Maida", she advised fledgling labor unions, set up education and training programs, and liaised between American and African labor leaders. In 1945, traveling to England on a labor-exchange trip, as well as observing the conditions of war-torn Britain she would become one of the first African-American woman to represent US labor abroad. She was also active in the civil rights movement, and advocated for women's rights around the world. She was very active in these movements for most of her life.

inaendelea.......
 
JULIUS NYERERE, ZUBERI MTEMVU NA BI. MAIDA SPRINGER ZANZIBAR 1957

Nimekutana na Bi. Maida Springer katika nyaraka za Sykes miaka mingi iliyopita

Leo nimepokea makala kutoka watu mbalimbali zote zikieleza hotuba ambayo Julius Nyerere alitoa Zanzibar tarehe 1 February 1957 akiwa ameongozana na Zuberi Mtemvu na Bi. Maida Springer.

Nyerere na ujumbe wake makala inaeleza walikuwa wageni wa African Association iliyokuwa ikiongozwa na Abeid Amani Karume.

Katiba hotuba hiyo aliyotoa usiku wa saa tatu Kisimama Majongoo Nyerere alisema, '' Sisi ni watu wawili tunataka kufyeka pori na pori hilo sharti tuwe na panga na bei ya panga ni shilingi tatu na sisi ni watu wawili kila mmoja ana shilingi moja.

Je ile shilingi ya tatu tutaipata wapi?

...sisi tunataka kufyeka mwitu huo tuwe sote mkono mmoja, tuungane tuchange tununuwe panga, ndipo tutapo weza kuweka safi huu mwitu, huu ni wakati wa kuwa pamoja.

Waafrika wasijiweke nyuma tena, kuna mambo mengi yanayoturejesha, hata majumba tuyakaayo sisi yanaonesha hali mbaya.

Hao wenzetu wa Amerika ni matajiri wa kweli, wazee wangu na ndugu zangu nawaambia tufanikiwe, mkifanikiwa nyinyi na sisi tutafanikiwa, tena hata sisi tukifuzu na nyinyi mtafuzu bila ya shaka.

Tuondoe hiki kizingiti cha upotovu tuwe sote sauti moja.''

...ndipo ilipo amuliwa kuunganisha chama cha Shirazi Association na African Association ili kuundwa Afro Shirazi Party (ASP)...''

Hii ilikuwa TANU mwaka wa 1957.

Huyu alikuwa Julius Nyerere mwaka wa 1957 viongozi wanakijenga chama Tanganyika na wakati huo huo kujaribu kuisaidia Zanzibar kuasisi chama.

Lakini Zanzibar kulikuwa na chama cha kupigania uhuru wa Zanzibar, Zanzibar Nationalist Party (ZNP).

Kwa nini Julius Nyerere alitaka kuwepo na chama kingine?
PICHA: Bi. Maida Springer.




View attachment 1953225
Huyu Maida alikuwa nani?...kipi kilimpeleka Zanzibar?........huenda Nyerere alitumika na waingereza kuviunganisha vyama vya shirazi na African association ili kukivunja nguvu chama cha 'Hizbu' kilichoonekana tishio sana kwa wakoloni huku kikiwa na wazanzibari wengi wenye asili ya 'ki-Asia'.
 
Back
Top Bottom