Uchaguzi 2020 Ziara ya Kheri Arusha: Mtia nia ubunge awajaza mapesa wajumbe

Uchaguzi 2020 Ziara ya Kheri Arusha: Mtia nia ubunge awajaza mapesa wajumbe

nyamadoke75

Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
93
Reaction score
288
Ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa,Kheri James katika Mkoa wa Arusha ,imekuwa na manufaa makubwa kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya ccm Mkoa waliopo kwenye kata baada ya kigogo mmoja anayewania nafasi ya ubunge jimbo la Arusha mjini kudaiwa kutembeza noti kama hana akili nzuri waweze kumpitisha.

Taarifa za uhakika toka ndani ya ccm bila kupepesa macho nasema wazi kwamba wajumbe waliochukua fedha katika Kata ya Engutoto majira ya usiku ,waliratibiwa na mwenyekiti wa ccm wilaya Bw Joseph Masawe ambaye in rafiki mkubwa wa kigogo Mrisho Gambo.

Walikutana na mwenyekiti wa wilaya wa ccm, Joseph Masawe ambaye aliwagawia mshiko wa sh,50,000 kila mmoja na kuwaambia kuwa hiyo ni nauri kutoka kwa kigogo huyo akiwaomba wamuunge mkono kwenye safari yake.

Jambo hilo limekuwa likilalamikiwa sana na watia nia wengine wakiitaka takukuru Taifa ije kuchukua hatua kwa sababu takukuru mkoani Arusha haina meno ya kumtikisa kigogo huyo kwa sababu katika mfumo wa utendaji kazi wa hapa nchini RC ni boss wao .

Gambo ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu anatuhumiwa sana kwa kucheza rafu na kujijenga kisiasa katika ziara hiyo kwa kumtumia Joseph Masawe kama mratibu wa wajumbe hao ambao ni wapiga kura watakaochagua wagombea ubunge kwa kuwajaza noti mapemaa ili kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi

Gambo amekuwa tishio kubwa kwa watia nia wa ubunge jimboni.hapa kutokana na fitina aliyonayo na utaalamu wa kucheza faru.

Kazi. Kwetu wanaccm tukicheza vibaya jimbo linachukuliwa na Lema mapemaaaa SAA NNE kwa kukosa chaguo la wananchi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu mwaka tutashuhudia mengi mweeeeh
 
Kama ni hivyo huyo hakufaa hata kuwa RC. Uzuri ni kuwa siku ya mchujo taarifa hizi zitakuwa mezani mwa wachujaji.
 
Huyo tayari amekwishajiondoa. Kwa utawala wa Mhe. Magufuli ajihesabu kuwa yeye aombe kudra za Mungu aje ateuliwe tena kuwa Mkuu wa Mkoa mahala popote hapa Tanzania.
 
Huyo kipenzi cha bwana mkubwa sidhani kama ataondolewa..
 
Ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa,Kheri James katika Mkoa wa Arusha ,imekuwa na manufaa makubwa kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya ccm Mkoa waliopo kwenye kata baada ya kigogo mmoja anayewania nafasi ya ubunge jimbo la Arusha mjini kudaiwa kutembeza noti kama hana akili nzuri waweze kumpitisha .

Taarifa za uhakika toka ndani ya ccm bila kupepesa macho nasema wazi kwamba wajumbe waliochukua fedha katika Kata ya Engutoto majira ya usiku ,waliratibiwa na mwenyekiti wa ccm wilaya Bw Joseph Masawe ambaye in rafiki mkubwa wa kigogo Mrisho Gambo.

Walikutana na mwenyekiti wa wilaya wa ccm, Joseph Masawe ambaye aliwagawia mshiko wa sh,50,000 kila mmoja na kuwaambia kuwa hiyo ni nauri kutoka kwa kigogo huyo akiwaomba wamuunge mkono kwenye safari yake.

Jambo hilo limekuwa likilalamikiwa sana na watia nia wengine wakiitaka takukuru Taifa ije kuchukua hatua kwa sababu takukuru mkoani Arusha haina meno ya kumtikisa kigogo huyo kwa sababu katika mfumo wa utendaji kazi wa hapa nchini RC ni boss wao .

Gambo ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu anatuhumiwa sana kwa kucheza rafu na kujijenga kisiasa katika ziara hiyo kwa kumtumia Joseph Masawe kama mratibu wa wajumbe hao ambao ni wapiga kura watakaochagua wagombea ubunge kwa kuwajaza noti mapemaa ili kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi

Gambo amekuwa tishio kubwa kwa watia nia wa ubunge jimboni.hapa kutokana na fitina aliyonayo na utaalamu wa kucheza faru.

Kazi. Kwetu wanaccm tukicheza vibaya jimbo linachukuliwa na Lema mapemaaaa SAA NNE kwa kukosa chaguo la wananchi.
Karai kazini
 
Kiukweli CCM wakimpitisha Gambo wana ccm wengi watapiga kura makusudi kwa upinzani huyu jamaa hakubaliki kabisa hapa Arusha hana mvuto si chamani mpaka uraiani
 
Umeandika kama Mshindani Mwenza...tumia pesa upate pesa babaa.
 
Huyo tayari amekwishajiondoa. Kwa utawala wa Mhe. Magufuli ajihesabu kuwa yeye aombe kudra za Mungu aje ateuliwe tena kuwa Mkuu wa Mkoa mahala popote hapa Tanzania.

Ucjari hiyo Ni mikakati ya kuleta hamasa ndani ya chama na kuchangia kampeni za CCM...

Takukuru wapo macho wanayaona hayo...
 
Huyo kipenzi cha bwana mkubwa sidhani kama ataondolewa..
Niwaombe vijana wa Ccm, njaa zitaharibu siasa za Arusha.. Tuache unafiki na umbea, siamini kama Gambo anaweza kufanya huu ujinga mlio andika. Pia mwenyekiti wa Chama wilaya siamini kama ana weza kuharibu sifa yake kwa ujinga mlio weka hapa. Namjua ki imani ni Mkristu mzuri na kiongozi kanisani ina niwia vigimu kuamini hayo mnayo mpakazia.. Msipo kuwa makini, bado Chadema ina kwenda kuibuka kidedea Arusha..
 
Huyo tayari amekwishajiondoa. Kwa utawala wa Mhe. Magufuli ajihesabu kuwa yeye aombe kudra za Mungu aje ateuliwe tena kuwa Mkuu wa Mkoa mahala popote hapa Tanzania.
Labda magufuli mpya uyo
 
Ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa,Kheri James katika Mkoa wa Arusha ,imekuwa na manufaa makubwa kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya ccm Mkoa waliopo kwenye kata baada ya kigogo mmoja anayewania nafasi ya ubunge jimbo la Arusha mjini kudaiwa kutembeza noti kama hana akili nzuri waweze kumpitisha .

Taarifa za uhakika toka ndani ya ccm bila kupepesa macho nasema wazi kwamba wajumbe waliochukua fedha katika Kata ya Engutoto majira ya usiku ,waliratibiwa na mwenyekiti wa ccm wilaya Bw Joseph Masawe ambaye in rafiki mkubwa wa kigogo Mrisho Gambo.

Walikutana na mwenyekiti wa wilaya wa ccm, Joseph Masawe ambaye aliwagawia mshiko wa sh,50,000 kila mmoja na kuwaambia kuwa hiyo ni nauri kutoka kwa kigogo huyo akiwaomba wamuunge mkono kwenye safari yake.

Jambo hilo limekuwa likilalamikiwa sana na watia nia wengine wakiitaka takukuru Taifa ije kuchukua hatua kwa sababu takukuru mkoani Arusha haina meno ya kumtikisa kigogo huyo kwa sababu katika mfumo wa utendaji kazi wa hapa nchini RC ni boss wao .

Gambo ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu anatuhumiwa sana kwa kucheza rafu na kujijenga kisiasa katika ziara hiyo kwa kumtumia Joseph Masawe kama mratibu wa wajumbe hao ambao ni wapiga kura watakaochagua wagombea ubunge kwa kuwajaza noti mapemaa ili kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi

Gambo amekuwa tishio kubwa kwa watia nia wa ubunge jimboni.hapa kutokana na fitina aliyonayo na utaalamu wa kucheza faru.

Kazi. Kwetu wanaccm tukicheza vibaya jimbo linachukuliwa na Lema mapemaaaa SAA NNE kwa kukosa chaguo la wananchi.

Namba ya kutuma hizo picha iliwekwa wazi je umefanya hivyo?
 
Ziara ya Mwenyekiti wa UVCCM Taifa,Kheri James katika Mkoa wa Arusha ,imekuwa na manufaa makubwa kwa wajumbe wa halmashauri kuu ya ccm Mkoa waliopo kwenye kata baada ya kigogo mmoja anayewania nafasi ya ubunge jimbo la Arusha mjini kudaiwa kutembeza noti kama hana akili nzuri waweze kumpitisha.

Taarifa za uhakika toka ndani ya ccm bila kupepesa macho nasema wazi kwamba wajumbe waliochukua fedha katika Kata ya Engutoto majira ya usiku ,waliratibiwa na mwenyekiti wa ccm wilaya Bw Joseph Masawe ambaye in rafiki mkubwa wa kigogo Mrisho Gambo.

Walikutana na mwenyekiti wa wilaya wa ccm, Joseph Masawe ambaye aliwagawia mshiko wa sh,50,000 kila mmoja na kuwaambia kuwa hiyo ni nauri kutoka kwa kigogo huyo akiwaomba wamuunge mkono kwenye safari yake.

Jambo hilo limekuwa likilalamikiwa sana na watia nia wengine wakiitaka takukuru Taifa ije kuchukua hatua kwa sababu takukuru mkoani Arusha haina meno ya kumtikisa kigogo huyo kwa sababu katika mfumo wa utendaji kazi wa hapa nchini RC ni boss wao .

Gambo ambaye amekuwa kimya kwa muda mrefu anatuhumiwa sana kwa kucheza rafu na kujijenga kisiasa katika ziara hiyo kwa kumtumia Joseph Masawe kama mratibu wa wajumbe hao ambao ni wapiga kura watakaochagua wagombea ubunge kwa kuwajaza noti mapemaa ili kujitengenezea mazingira mazuri ya ushindi

Gambo amekuwa tishio kubwa kwa watia nia wa ubunge jimboni.hapa kutokana na fitina aliyonayo na utaalamu wa kucheza faru.

Kazi. Kwetu wanaccm tukicheza vibaya jimbo linachukuliwa na Lema mapemaaaa SAA NNE kwa kukosa chaguo la wananchi.
TAKUKURU NI KICHAKA KINGINE CHA WATOA RUSHWA
 
Back
Top Bottom