Ziara ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango mkoa w Kagera

Ziara ya Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango mkoa w Kagera

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869


Makala haya yanahusu ziara ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango alioifanya Mkoa wa Kagera. Makamu wa Rais alifungua Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Nyumba NHC, alitembelea Shamba la Miti Rubare, maporomoko ya maji ya Kyamunene alishiriki Ibada ya sherehe ya Jubilee ya Miaka Hamsini ya Upadre ya Mashamu Askofu Method Kilaini.

1676296771623.png

Picha : Shamba la Miti Rubare mkoa wa Kagera, Tanzania


1676296833028.png

Picha : Maporomoko ya maji ya Kyamunene mkoani Kagera, Tanzania
Source : Ofisi ya Makamu wa Rais
2022/03/18
 

Makala haya yanahusu ziara ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango alioifanya Mkoa wa Kagera. Makamu wa Rais alifungua Jengo la Kitega Uchumi la Shirika la Nyumba NHC, alitembelea Shamba la Miti Rubare, maporomoko ya maji ya Kyamunene alishiriki Ibada ya sherehe ya Jubilee ya Miaka Hamsini ya Upadre ya Mashamu Askofu Method Kilaini.

View attachment 2516169
Picha : Shamba la Miti Rubare mkoa wa Kagera, Tanzania


View attachment 2516170
Picha : Maporomoko ya maji ya Kyamunene mkoani Kagera, Tanzania
Source : Ofisi ya Makamu wa Rais
2022/03/18
Mbona ya mwaka Jana hii?

Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app
 
Wakazi wa kijiji cha Mikongo wilayani Njombe

Source : Tanzania forest
Mbona ya mwaka Jana hii?

Sent from my itel A661W using JamiiForums mobile app

Swali zuri sana la mwanaJF makini kuwa kwanini ziara hii ya makamu wa rais mwezi March 2022 karibu mwaka mzima umepita iwe uploaded leo tarehe 13 February 2023 kupitia akaunti rasmi ya ofisi ya makamu wa rais VP0
 
Watu wa Kagera kweli mnalo. Yaani Makamu wa Rais anatoka kote huko anakuja mkoa ulio nyuma sana kiuchumi kutembelea msitu, kuhudhuria misa na kuzindua jengo la kagorofa kamoja tena mpakani. Miradi ya kimkakati iko wapi kuinua uchumi wa mkoa?

Huu mkoa kweli umefelishwa na wasomi wake, wakipewa ajira huko serikalini wanasahau kutetea maslahi ya wanapotoka. Wanaridhika kwa vitu vidogo na wameshindwa kujifunza kwa wenzao wa Arusha/Kilimanjaro.
 
Dr. Ntuli A. Kapologwe, m-mama at the Global stage (UNGA77), thank you to Vice President Hon. Philip Mpango



21 Sept2022
At the event on the sidelines of the UNGA 77, USAID and @vodafonefoundation5188 pledged $15 million to scale up a program that is providing emergence transportation (m-mama) for thousands of pregnant women in Tanzania Mainland and Zanzibar. The program will now expand to cover the entire population. USAID - US Agency for International Development Administrator Ms. Samantha Powers made the announcement in the presence of Tanzania's Vice President, Hon. Dr. Philip Mpango. She noted that the expansion of the m-mama program is a direct response to a request from Tanzanian President Hon. Samia Suluhu Hassan and supports the Government of Tanzania's efforts to improve maternal and child health.

Mpango wa M-Mama - Tanzania. Kazi iendelee



Serikali ya Tanzania kwa kushirikiana na taasisi ya Vodafone pia Shirika la Misaada la Marekani USAID imezidua mpango wa dharura wa kumsaidia mama mjamzito unaojulikana kama M-Mama RAIS SAMIA AZINDUA MFUMO WA USAFIRISHAJI WA DHARURA KWA WAJAWAZITO NA WATOTO WACHANGA M-MAMA - Mzalendo

Serikali ya Tanzania : “Tumeagiza ‘ambulance’ 233 za kawaida ambazo zitamwangwa Tanzania nzima lakini pia tumeagiza ‘ambulance’ 25 ambazo ni ‘advance’ hizi ni kama ngazi ya rufani kama zile zinakuwa hazitoshi au hazina vifaa basi hizi 25 zitatumika lakini pia tumeagiza magari 242 ya uratibu ,

Nimatuini yangu kwamba magari na ambulance hizi zitakwenda kuongeza nguvu kwenye huu mpango wa m-mama ili kuwawahisha watoto na kina mama mahospitalini”amesema

Rais Samia pia ameiagiza Wizara ya Afya kufanya haraka kuiangalia mifumo inayotumiwa na Bohari ya Dawa nchini (MSD) hasa katika mfumo wa ufuatiliaji dawa tangu inapotoka hadi pale inapomfika kwenye vituo.


Rais Samia amewaagiza Wakuu wa Mikoa katika Halmashauri ambazo mfumo wa M-MAMA utatekelezwa, kutenga fedha zitakazoongeza nguvu kwenye huduma ya mama na mtoto mchanga.
 
Back
Top Bottom