Ziara ya Marekani isipotupaisha uchumi wa juu tutaishitakia mizimu

Ziara ya Marekani isipotupaisha uchumi wa juu tutaishitakia mizimu

scatter

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
1,667
Reaction score
926
Ziara ya mkuu wa nchi anayondelea nayo nchini marekani zaidi ya wiki sasa ni nzuri sana ila ni lazima tuseme ukweli haitatuletea mapinduzi ya kiuchumi na nchi yetu kuwa na uchumi wa hali ya juu kama baadhi ya nchi za Afrika.

Ziara ya zaidi ya wiki moja ni kitu kikubwa sana kwa mtu ambaye anaongoza tasisi kubwa ya uraisi hivyo basi kama ziara hii haitozaa matunda ni vyema raisi SAMIA asi itumie tasisi kufanya ziara nyingine kubwa kama hizi maana uchumi wa nchi haujengwi kwa kuzunguka.

Hebu tujiulize nchi za dubai tunisia morocco na zote zilizo na majangwa makubwa mbona zipo mbali kiuchumi je maraisi wake wanashinda marekani?
 
Naamini muda ni mwalimu mzuri sana
 
Ziara ya mkuu wa nchi anayondelea nayo nchini marekani zaidi ya wiki sasa ni nzuri sana ila ni lazima tuseme ukweli haitatuletea mapinduzi ya kiuchumi na nchi yetu kuwa na uchumi wa hali ya juu kama baadhi ya nchi za Afrika.

Ziara ya zaidi ya wiki moja ni kitu kikubwa sana kwa mtu ambaye anaongoza tasisi kubwa ya uraisi hivyo basi kama ziara hii haitozaa matunda ni vyema raisi SAMIA asi itumie tasisi kufanya ziara nyingine kubwa kama hizi maana uchumi wa nchi haujengwi kwa kuzunguka.

Hebu tujiulize nchi za dubai tunisia morocco na zote zilizo na majangwa makubwa mbona zipo mbali kiuchumi je maraisi wake wanashinda marekani?
Hakuna Mzungu anayempenda muafrika wapo kiunyonyaji zaidi
 
Hakuna Mzungu anayempenda muafrika wapo kiunyonyaji zaidi
Unajua watu wanasahau sana JUZI HÀPA Mmarekani kaondoka afganistani kihuni na kwa acha wataleban waingie madarakani na wamekaa afghanistan zaid ya miaka mitatu
HAIWEZEKANI TASISI YA URAISI IKAE MAREKAN ZAIDI YA WIKI ...nchi haipo katika kufanya majaribio
Kama wamrekan wanaipenda tanzania basi hata afghanistani ili chafuliwa na hawa hawa jamaa
hata kama tuna njaa tusijikombe sana kwa zaidi ya wiki kisa royal tour ndio tusaidiwe
 
Naona ana kutana na kina juma lokole wa USA .
 
Naona ana kutana na kina juma lolote wa USA .
Eti kin Baba wa rihanna nashangaa sana
hata joe biden atakua anamshangaa sana hajui anataka nn na hawezi akampa attention ya kuzungumza masuala ya Kiuchumi haipo kabisa labda aendelee kutembelea viwanda bubu huko america
TANZANIA ina vivutio vikubwa sana ni zaidi ya royal tour ..ina fursa kibao za kiuchumi kuliko nchi nyingine
Wenzetu dubai walituliza akili wamewekeza katika nchi yao sasa wanaheshimika
 
Itoshe kusema MAREKANI SIO BABA YANGU UCHUMI IMARA UTAJENGWA PIKIWA NA UHURU NA USAWA WA KIDIPLOMASIA NA SIO KUJIPENDEKEZA
 
Safari hii isipokuwa chanya raisi atakuwa amejivunjia heshima kwetu na atakuwa ametudharau sana sisi
Tunaomba ufanikishe unachokifanya kama raisi na ikikupendeza mheshimiwa akae hadi mwezi wa tano sio vibaya
 
Kila kitu ni process, alafu kuna kufanikiwa na kupoteza...
 
Ingekuwa Burundi angekuta hicho kiti chake kilishabadirishwa,ashukuru Tanzania siyo waroho wa madaraja,la sivyo wangemshawishi mabeyo afanye yake
 
Kila kitu ni process, alafu kuna kufanikiwa na kupoteza...
Ila tusije poteza wiki nźima ni jambo
Uchumi wa marekan upo juu sana hana haja ya kuhangaika nao sisi wetu ni wachina wamejenga kwetu vitu vingi kuliko hao wa america
 
Uchumi wetu utapaa kwa kuuza filam za utalii? Mungu wa mbinguni okoa taifa lako!
 
Ziara ya mkuu wa nchi anayondelea nayo nchini marekani zaidi ya wiki sasa ni nzuri sana ila ni lazima tuseme ukweli haitatuletea mapinduzi ya kiuchumi na nchi yetu kuwa na uchumi wa hali ya juu kama baadhi ya nchi za Afrika.

Ziara ya zaidi ya wiki moja ni kitu kikubwa sana kwa mtu ambaye anaongoza tasisi kubwa ya uraisi hivyo basi kama ziara hii haitozaa matunda ni vyema raisi SAMIA asi itumie tasisi kufanya ziara nyingine kubwa kama hizi maana uchumi wa nchi haujengwi kwa kuzunguka.

Hebu tujiulize nchi za dubai tunisia morocco na zote zilizo na majangwa makubwa mbona zipo mbali kiuchumi je maraisi wake wanashinda marekani?

Mkuu kamwe uchumi wako haukui kwa kwenda kuzurura na kufunga mikataba kwa wenye ma skyscrapers [emoji913] na uchumi mkubwa na misaada na kuomba omba bali ila tu kwa kutumia effectively rasimali na rasilimali watu uliyonayo. Hiyo model ya zamani ilishaprove failure kitambo. Reference is made to many African countries versus Asian Countries The Big Tigers FULL STOP.
 
Back
Top Bottom