Ziara ya Mwenezi Shaka Hamdu Shaka katika Vyombo vya Habari vya Zanzibar asubuhi hii

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
ZIARA YA MWENEZI SHAKA HAMDU SHAKA KATIKA VYOMBO VYA HABARI VYA ZANZIBAR ASUBUHI HII.

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka Leo Jumatano Julai 13, 2022 kuanzia asubuhi hii atatembelea katika Vyombo vya Habari vya Zanzibar kwa kuanza na Shirika la Magazeti (ZANZIBAR LEO), Bahari FM Redio, Zenji FM Redio, Mwenge FM, Sunet TV pamoja na ZBC TV na REDIO.

#Tutawafuatakokote
#KaziIendelee

 
Ni Tanzania tu...masikini Tanzania! Cry my beloved country!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…