Ziara ya Rais Kikwete Mkoani Tabora

  • Thread starter Thread starter MegaPyne
  • Start date Start date

Rais wetu, mtu mwenye MADARAkA makubwa sana kikatiba (alisema yeye mwenyewe) katuambia kuwa TUSUBIRI wimbi la KUUWA MA-ALBINO liishe. Kama yanamshinda si abadili katiba na kumpa PM madaraka makubwa zaidi? PM ndiyo afe na wauwa ma-Albino. Wakati mwingine napata wasiwasi kama na yeye Muungwa huko Bagamoyo katika hizo Test Tube za waganga wake wa kiennyeji, haziingii ngozi za zeruzeru. To SAD. So the answer is JUST WAIT. Just wait my son. Just wait my daughter. Time is an answer.
 


Ukifika Wilaya za Tabora na kuona Watu walivyochoka, ndipo utajua KIKWETE alikuwa akisema nini. Cha ajabu, hakuna DC au RC au Mbunge aliyepewa YELLOW CARD au Red card. Wapo wanapeta tu. Sijui Kikwete alijisikiaje kuwa huku Sikonge maana ukiona mji na watu unaamini kabisa kuwa hii ni kama ile miji iliyoandikwa kwenye Biblia kuwa "Yesu alipouna mji AKALIA".
Ukifika Tabora mjini ni Machozi tu kulenga lenga. Kama hakushtushwa basi jamaa kweli MWANA SIASA. Tabora utafikiri tulishiriki KUMUUWa Yesu na laana ya mababu zetu hadi leo tunayo sisi wajukuu zao.
Kibaya zaidi, CCM huku ndiyo imefika. Hata ufanyeje, uwaibie na kuwapiga viboko Wanyamwezi, bado CCM ni yao na wako too Proud na CCM yao. Kama ni usiku wa Mkesha, basi Tabora ndiyo kwanza tupo saa 23. Heri Wazenji wanaweza kudai Kuvunja Muungano, ila sisi bado hatujafikia kuliona hilo. Watanzania wa Mbeya, na Tarime wakiongozwa na Kilimanjaro, naona wao wako hatua kadhaa mbele. Hawa wanahitaji RC mkorofi wa kuchapa viboko Wajinga na Wavivu. Ka-Uarabu tunakapenda sisi Wanyamwezi!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…