pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Kingston ndio hub ya nchi za visiwa vya Carribean. Nchi ambazo huwa zinapokea watalii wengi, 1+1=2.Kuna vitu sielewi, hiyo Nairobi-Kingston ni sababu za Kiuchumi au Kihistoria? Kwa maana sioni trip ya Kingston-Nairobi ikijaza hata nusu ya ndege, I mean nani anaenda Jamaika?
Kingston ndio hub ya nchi za visiwa vya Carribean. Nchi ambazo huwa zinapokea watalii wengi, 1+1=2.
Kutoka kote duniani, sanasana kutoka Marekani na Europe, ndio maana tukaingia kwenye mkataba wa ushirikiano kati ya Kenya na Jamaica kwenye masuala ya utalii.Zinapokea Watalii wengi kutokea wapi? Nairobi/ Afrika?
hapo umeongea sasa nani ataenda Kingston surely? better Nairobi - Sydney Nairobi - Tokyo , Nairobi - Los Angeles , Nairobi - Singapore na Nairobi - Rio lakini Kingston haitaleta profit yyteKuna vitu sielewi, hiyo Nairobi-Kingston ni sababu za Kiuchumi au Kihistoria? Kwa maana sioni trip ya Kingston-Nairobi ikijaza hata nusu ya ndege, I mean nani anaenda Jamaika?
Fursa hata vichochoroni.mmeshidwa New York huko kingstone mtabeba maparachichi au kujaza makaratasi ya mikataba tu 😂😂😂Hongera sana, tunafaa kusaka fursa kote.
We are closer to Kingston now [emoji16][emoji16][emoji16]. Wengine bado wanatarajia Kufika Kigali[emoji23][emoji23][emoji23]https://www.the-star.co.ke/news/201...ya-direct-flights-after-uhuru-kingston-visit/Rais Kenyatta yupo kwenye ziara rasmi nchini Jamaica ambapo alipokewa na waziri mkuu wa Jamaica Andrew Holness. U.K aliandaliwa gwaride ya heshima na vikosi vya kijeshi vya Jamaica ikiandamana na mizinga 21(21 gun salute). Viongozi hao wawili walishuhudia mikataba miine ikitiwa saini na mawaziri wa Kenya na Jamaica. Mikataba hiyo ni kwenye sekta za utalii na michezo.
I don't see the viability or profitability of this either.Kuna vitu sielewi, hiyo Nairobi-Kingston ni sababu za Kiuchumi au Kihistoria? Kwa maana sioni trip ya Kingston-Nairobi ikijaza hata nusu ya ndege, I mean nani anaenda Jamaika?
Mifugo mlisema mnaipenda ndiyo maana mkapewa bhuaanaPM Holness gifts Pres. Uhuru with a painting. Watz mna cha kujifunza hapa, sio lazima zawadi iwe mifugo na wanyama. [emoji38]
Uhuru aliomba Tausi unavyosema tuna cha kujifunza ni sawa na kutuambia tuiambie bangi iliyomtuma itake picha! That's unfair! 😐PM Holness gifts Pres. Uhuru with a painting. Watz mna cha kujifunza hapa, sio lazima zawadi iwe mifugo na wanyama. [emoji38]
Uhuru kajifunza kwa Magufuli kugawa zawadi za picture,PM Holness gifts Pres. Uhuru with a painting. Watz mna cha kujifunza hapa, sio lazima zawadi iwe mifugo na wanyama. [emoji38]
HALAFU hata sidhani kama hiyo zawadi katoa yeye, mbona kama ribbons ni bendera ya Jamaica.Uhuru aliomba Tausi unavyosema tuna cha kujifunza ni sawa na kutuambia tuiambie bangi iliyomtuma itake picha! That's unfair! 😐
Inaweza pia ikaifanya Nairobi kuwa centre ya Caribean countries kwenda U.A.E especially Dubaihapo umeongea sasa nani ataenda Kingston surely? better Nairobi - Sydney Nairobi - Tokyo , Nairobi - Los Angeles , Nairobi - Singapore na Nairobi - Rio lakini Kingston haitaleta profit yyte