Ziara ya Rais Uhuru Kenyatta Uganda, August 2015


Hivi wewe MOTOCHINI mbona unahangaika sana, wanasiasa wote wanafahamika kwa uchafu, na hili halina nchi wala nini. Hao viongozi wa Tanzania wanafahamika kuwanyofoa Albino ifikapo mwaka wa uchaguzi. Visa vya Albino kutoweka huwa vinaongezeka sana mnapofikia kwenye kampaini za uchaguzi.

Halafu kuna kipindi picha zililetwa humu za bunge wenu akifanya umalaya na amdemu tofauti, hii hapa https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...zasambazwa-kwenye-mitandao-ya-kijamii-33.html

Hivyo hayo ya uchafu wa Wabunge, usitetee sana maana wote wachafu, wetu hawa na wenu pia.
 
Last edited by a moderator:

MK254 naomba kuuliza.....hivi ushawahi kupungukiwa na words kweli? sometimes i go through your comments & wonder! ungekuwa mswahili ungeimba taarab.
 
Last edited by a moderator:
MK254 naomba kuuliza.....hivi ushawahi kupungukiwa na words kweli? sometimes i go through your comments & wonder! ungekuwa mswahili ungeimba taarab.

Teh teh teh teh!!
Afu sikushibi wewe.... nazipitia tena na tena.
 
Hapo MK254 Nilikuwa nataka hapotu kwenye red, hilo la kuhangaika ww ndie chanzo kwanza mbona umejibu moja na kuhusu kulala mbona hujajibu? wakatindio shupalio lenu!
 
Last edited by a moderator:
Wabunge Wa Kenya wananijazz na vituko vyao.
Ni kama tu wale mateeniez walishikwa kwa bus wakimisbehave.
Na vile nilikuwa nikiskia vile hawa mabuda wanasema vile watoi wa sikuizi wamespoil, kumbe they are just learning from the best!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…