Ziara ya waziri wa China East Africa yaipa Tanzania viwanda 200:BBC

Ziara ya waziri wa China East Africa yaipa Tanzania viwanda 200:BBC

Naton Jr

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
7,867
Reaction score
19,250
Waziri wa mambo ya nje wa china Wang Yi amewasili Tanzania kwa ziara ya siku Moja, ikiwa ni utekelezaji wa mazungumzo juu ya mpango wa maendeleo ya viwanda kati ya Tanzania na China.
Huku viwanda takriban 200 vikitarajiwa kujengwa kufikia mwaka 2020.

Munira Hussein amezungumza na Afisa habari wa wizara ya mambo ya nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mindi Kasiga juu ya ziara hiyo.


Waziri wa mambo ya nje wa China Wang Yi azuru Tanzania - BBC Swahili
 
Back
Top Bottom