M Mafuluto JF-Expert Member Joined Aug 25, 2009 Posts 1,861 Reaction score 859 Apr 19, 2016 #21 masagati said: Huu uwekezaji wenye manufaaa kwa taifa . Kodi, ajira tunapata na tukiuza nje hadi pesa ya kigeni pia Click to expand... ....ajira gani au labda ya kuwafunga nepi hao ng'ombe....angalia picha ya ujumbe na wafanyakazi !!
masagati said: Huu uwekezaji wenye manufaaa kwa taifa . Kodi, ajira tunapata na tukiuza nje hadi pesa ya kigeni pia Click to expand... ....ajira gani au labda ya kuwafunga nepi hao ng'ombe....angalia picha ya ujumbe na wafanyakazi !!
B Bukyanagandi JF-Expert Member Joined Jun 24, 2009 Posts 11,061 Reaction score 16,753 Apr 19, 2016 #22 Troojan said: Duuu mbna ni waarabu tu na wahindi??? Click to expand... Ndio inashangaza kidogo, naona Waswahili ni wawili tu kwenye kundi nao wamekaa kinyooonge!!
Troojan said: Duuu mbna ni waarabu tu na wahindi??? Click to expand... Ndio inashangaza kidogo, naona Waswahili ni wawili tu kwenye kundi nao wamekaa kinyooonge!!