Pre GE2025 Ziara za nje zimesimama, Ziara za ndani zimeanza kwa kuwa uchaguzi umekaribia

Pre GE2025 Ziara za nje zimesimama, Ziara za ndani zimeanza kwa kuwa uchaguzi umekaribia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Asikwambie mtu ziara za nje muhimu mno! Uchumi unafunguka watu wananeemeka! Maji yanamwagika huko vijijini, Miradi inakwenda! Bei za vyakula na bidhaa mbalimbali zinashuka!

Yaani ziara tamu! Haswa ukikaa kwenye luxury seat za lile dude la Boeing 757, mezani kuna Asian sushi, sashimi na Mediterranean-inspired salads huku ukisindikiza na wine aina ya Domaine de la Romanee-Conti Grand Cru ya mwaka 1945, yaani madawati yanajileta yenyewe madarasani tunasahau habari ya watoto wetu kukaa chini!

Ziara za ndani wala hazina umuhimu, wizi wa mali ya umma na usimamizi mbovu wa miradi ya umma kwanza haupo siku hizi. Watumishi wamekuwa waadilifu hawaibi tena.Hata zile picha za kile kisima cha samaki kilichogharimu bilioni 2 si za kweli ni propaganda tu za wapingaji.

Kilombero Hoyee!
 
Akifanya kosa asifanye kosa manatakaje watanzania?

USSR
 
Akifanya kosa asifanye kosa manatakaje watanzania?

USSR
Watanzania sio wajinga, Kama kweli zile ziara zilikuwa muhimu, Mbona ameacha kwa sasa? Kama haikuwa muhimu kuzunguka mikoani kipindi cha nyuma mbona sasa anafanya hivyo?
 
Asikwambie mtu ziara za nje muhimu mno! Uchumi unafunguka watu wananeemeka! Maji yanamwagika huko vijijini, Miradi inakwenda! Bei za vyakula na bidhaa mbalimbali zinashuka!

Yaani ziara tamu! Haswa ukikaa kwenye luxury seat za lile dude la Boeing 757, mezani kuna Asian sushi, sashimi na Mediterranean-inspired salads huku ukisindikiza na wine aina ya Domaine de la Romanee-Conti Grand Cru ya mwaka 1945, yaani madawati yanajileta yenyewe madarasani tunasahau habari ya watoto wetu kukaa chini!

Ziara za ndani wala hazina umuhimu, wizi wa mali ya umma na usimamizi mbovu wa miradi ya umma kwanza haupo siku hizi. Watumishi wamekuwa waadilifu hawaibi tena.Hata zile picha za kile kisima cha samaki kilichogharimu bilioni 2 si za kweli ni propaganda tu za wapingaji.

Kilombero Hoyee!
Kila kitu kina wakati wake ,kwani Kuna ubaya?
 
Asikwambie mtu ziara za nje muhimu mno! Uchumi unafunguka watu wananeemeka! Maji yanamwagika huko vijijini, Miradi inakwenda! Bei za vyakula na bidhaa mbalimbali zinashuka!

Yaani ziara tamu! Haswa ukikaa kwenye luxury seat za lile dude la Boeing 757, mezani kuna Asian sushi, sashimi na Mediterranean-inspired salads huku ukisindikiza na wine aina ya Domaine de la Romanee-Conti Grand Cru ya mwaka 1945, yaani madawati yanajileta yenyewe madarasani tunasahau habari ya watoto wetu kukaa chini!

Ziara za ndani wala hazina umuhimu, wizi wa mali ya umma na usimamizi mbovu wa miradi ya umma kwanza haupo siku hizi. Watumishi wamekuwa waadilifu hawaibi tena.Hata zile picha za kile kisima cha samaki kilichogharimu bilioni 2 si za kweli ni propaganda tu za wapingaji.

Kilombero Hoyee!
In your dreams

Mh rais can travel as deemed necessary
 
Back
Top Bottom