Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

Inakuwaje kwanza mwanaume unaibiwa? Utakuwa unatatizo mkuu,sana sana kiwango chako kibovu.imarisha kiwango,Fanya mazoezi,kula vizuri ushibe,bamia na nyanya chungu kwa wingi,pumzika vya kutosha ukipata muda,piga show ya ukweli,hutachapiwa nakuambia.



wacha we!🙁
 
Tupe mtazamo wako Mrs.air


nadhan ulichoongea ni kweli tupu! mwanamke apate kila kitu,umjali hisia zake,umpe care unazoweza za ndani ya uwezo wako, hata kama mume maskini kabisa ngumu sana mwanamke wa aiana hyo kuchepuka! labda kama aliingia kwenye ndoa kwa sababu zingine lakin ikama alikupenda kwa dhati yaana hawachepukagi!
ukiona anachepuka huyo ana kaasili ka damu ileee!ya kuruka ruka!
TUVUMILIANE TU
 
Hahahahaha! Umemaliza
 
Hizo wala hana wa jirani wakt huwa anagegedwa na mwenye nyumba kila week-end
 
Nitarudi Eddy ila sie wanawake achana na hivi viumbe kabisa anaweza akatoka huko na akakupa vizuri jamaan na usoni anakukazia vizuri tu
[emoji15] [emoji15] [emoji15] kumbee
 
***** hili jamaa litakuwa sio litanzania kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…