Zifahamu dalili 10 za mwanamke aliyetoka kufanya mapenzi kama ni mkeo

Wakati huo ua amechangamka kupitiliza na anakua na aibu wakati wote,.. Haturii akiona unamwangilia anakua amekisense ,jikon Mara sebuleni Mara kachukua nguo anataka kufua haeleweki,.. Ukiona ivo jua nyoya izo ndege kamegwa..
 
Wakati huo ua amechangamka kupitiliza na anakua na aibu wakati wote,.. Haturii akiona unamwangilia anakua amekisense ,jikon Mara sebuleni Mara kachukua nguo anataka kufua haeleweki,.. Ukiona ivo jua nyoya izo ndege kamegwa..
Teh Teh Teh Mkuu Umetisha
 
Utajuaje kama Una ugwadu mkuu?
 
Dah ngoja nianze kuzifanyia kazi kwa ma wife maana naona kuna kaukweli fulani hapo mkuu!

Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Dah ngoja nianze kuzifanyia kazi kwa ma wife maana naona kuna kaukweli fulani hapo mkuu!

Sent from my HUAWEI CUN-L21 using JamiiForums mobile app
Isijekuwa At Your Own Risk
 
Acha uchochezi hizo mbinu tumia kwa mkeo tu hatuna haja na umbea wako.

Sent from my Lenovo A606 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…