Zifahamu dalili na tabia ya Nchi Masikini

Zifahamu dalili na tabia ya Nchi Masikini

Ngwanakilala

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2011
Posts
774
Reaction score
1,464
Dalili za nchi masikini:

Uwepo wa redio FM kila kona

Msafara wa Rais unakuwa na gari nyingi kupita kiasi

Kila mtu anajenga nyumba/ kijumba

Wananchi vichwani kunawaza mpira

Matumizi na mapato hayana kanzidata/ data base

Kila baada ya hatua tano kuna duka/ kila mtu mchuuzi

Watu wanasoma kozi zisizotumika (mfano Gambia, wana ndege tano ila maroban karibu 15000

Mtu kupata huduma hadi ajikombe au atoe rushwa/chunguza upatikanaji wa passport utaelewa

Shule zipo kama mapambo hazina facilities

Kiwango cha uelewa ni kidogo kwa wananchi

Kila tatizo kwao ni Mungu awaokoe

Wingi wa makanisa na misikiti/ kila kona msikiti au kanisa

Kuna viongozi wa dini wanajiita mtume na nabii. Wote ni matajiri wakutupa lakini waumini wao ni masikini wakutupa

Asilimia 70 ya wananchi hawana bima ya afya


Asilimia 70 ya wananchi hawana computer

Asilimia 70 ya vijana wanacheza michezo ya betting. Kamari

Asilimia 70 ya labor force iko kwenye service industry

Kukosekana uchumi wa viwanda

Mbuga za wanyama ni kwaajili ya foreigners


Kuna vibanda vingi sana vyakuuza chipsi na vyakula.

Mvua ikizidi kidogo njia hazipitiki

Kilimo chao ni cha kutegemea mvua

Hakuna kilimo cha umwagiliaji

Watu hawatumii card za benki kufanya malipo wanabeba hela mifukoni

Watu wanachangiana kufanya sherehe kama harusi

Miji mikuu kua na foleni za magari kila mahali


Ukiacha barabara kuu, barabara za pembezoni zote niza vumbi

Hakuna town trains transportation wala undeground transportation

Nchi ina taasisi za kibenki zaidi ya 50

Nchi ina microfinance nyingi sana

Wananchi wana vikundi vya kukopeshana

Watu wengi kukimbia proffesions zao nakua wanasiasa

Watu wengi kuamini kujua english ndio usomi.

Kama zipo nyingine usisite kuongeza.
 
Nchi zote maskini watu walio wengi akili hawana ndio sifa kubwa.Hizo zingine zote ukizoandika Ni matokea ya umaskini wa akili
Ukiona nchi maskini ujue watu wake hamna kitu kichwani
 
Nchi zote maskini watu walio wengi akili hawana ndio sifa kubwa.Hizo zingine zote ukizoandika Ni matokea ya umaskini wa akili
Ukiona nchi maskini ujue watu wake hamna kitu kichwani

'Ukiona nchi maskini ujue watu wake hamna kitu kichwani'

Bila shaka na watu wasio na kitu kichwani lazima wachague viongozi wa dizaini yao hio hio(wasio na kitu kichwani).

dodge
 
Nchi zote maskini watu walio wengi akili hawana ndio sifa kubwa.Hizo zingine zote ukizoandika Ni matokea ya umaskini wa akili
Ukiona nchi maskini ujue watu wake hamna kitu kichwani

Nakubaliana na wewe

Watu wengi wana umaskini wa akili na hawajitambui. Pia idadi ya wasomi ni ndogo ukilinganisha na ambao hawajosam.
 
'Ukiona nchi maskini ujue watu wake hamna kitu kichwani'

Bila shaka na watu wasio na kitu kichwani lazima wachague viongozi wa dizaini yao hio hio(wasio na kitu kichwani).

dodge

Ni kweli kama unamkumbuka waziri mmoja aliitwa Mulugo alisema Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na Tanzania.
 
Ni kweli kama unamkumbuka waziri mmoja aliitwa Mulugo alisema Tanzania ni muungano wa Zimbabwe na Tanzania.
Na mwingine ni kiongozi mkuu mstaafu aliulizwa kwny interview kwanini Tz ni maskini wkt ina kila kitu akasema 'Mie mwenyewe sifahamu ila wahisani waendelee kutupa misaada kwa wingi inaweza kusaidia'.

dodge
 
Na mwingine ni kiongozi mkuu mstaafu aliulizwa kwny interview kwanini Tz ni maskini wkt ina kila kitu akasema 'Mie mwenyewe sifahamu ila wahisani waendelee kutupa misaada kwa wingi inaweza kusaidia'.

dodge

Daah

Tena bwana huyo anaweza akawa na PhD ya Heshima
 
Na mwingine ni kiongozi mkuu mstaafu aliulizwa kwny interview kwanini Tz ni maskini wkt ina kila kitu akasema 'Mie mwenyewe sifahamu ila wahisani waendelee kutupa misaada kwa wingi inaweza kusaidia'.

dodge
Ha hahahaha.......
 
Uchumi wa nchi kumilikiwa na wageni Kupoteza muda kwenye foleni mbalimbali Wananchi wengi kuamini uchawi
 
Dalili za nchi masikini:

Uwepo wa redio FM kila kona

Msafara wa Rais unakuwa na gari nyingi kupita kiasi

Kila mtu anajenga nyumba/ kijumba

Wananchi vichwani kunawaza mpira

Matumizi na mapato hayana kanzidata/ data base

Kila baada ya hatua tano kuna duka/ kila mtu mchuuzi

Watu wanasoma kozi zisizotumika (mfano Gambia, wana ndege tano ila maroban karibu 15000

Mtu kupata huduma hadi ajikombe au atoe rushwa/chunguza upatikanaji wa passport utaelewa

Shule zipo kama mapambo hazina facilities

Kiwango cha uelewa ni kidogo kwa wananchi

Kila tatizo kwao ni Mungu awaokoe

Wingi wa makanisa na misikiti/ kila kona msikiti au kanisa

Kuna viongozi wa dini wanajiita mtume na nabii. Wote ni matajiri wakutupa lakini waumini wao ni masikini wakutupa

Asilimia 70 ya wananchi hawana bima ya afya


Asilimia 70 ya wananchi hawana computer

Asilimia 70 ya vijana wanacheza michezo ya betting. Kamari

Asilimia 70 ya labor force iko kwenye service industry

Kukosekana uchumi wa viwanda

Mbuga za wanyama ni kwaajili ya foreigners


Kuna vibanda vingi sana vyakuuza chipsi na vyakula.

Mvua ikizidi kidogo njia hazipitiki

Kilimo chao ni cha kutegemea mvua

Hakuna kilimo cha umwagiliaji

Watu hawatumii card za benki kufanya malipo wanabeba hela mifukoni

Watu wanachangiana kufanya sherehe kama harusi

Miji mikuu kua na foleni za magari kila mahali


Ukiacha barabara kuu, barabara za pembezoni zote niza vumbi

Hakuna town trains transportation wala undeground transportation

Nchi ina taasisi za kibenki zaidi ya 50

Nchi ina microfinance nyingi sana

Wananchi wana vikundi vya kukopeshana

Watu wengi kukimbia proffesions zao nakua wanasiasa

Watu wengi kuamini kujua english ndio usomi.

Kama zipo nyingine usisite kuongeza.
Duh sioni uhalisia!
 
Back
Top Bottom