Thabit Madai
Member
- Oct 8, 2024
- 54
- 140
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo namba 4 hasa akiwa analia kwa kwikwi alafu akautaka ๐Kuwa bora kwenye tendo la ndio ni jambo Mhimu na hutegemea baadhi ya mambo ila mhimu zaidi
View attachment 3131160
View attachment 3131161
View attachment 3131165
View attachment 3131163
Mpatie Tuu huu ni wakati mzuri sana maana baada ya kusuluhishana munapatana na kuweka mwili sawaHiyo namba 4 hasa akiwa analia kwa kwikwi alafu akautaka ๐
Naelewa mkuu kuna ile moment kushiriki tendo ndio kunasuluhisha yote. Ni feeling nzuri sana ukisindikiza na maneno matam lazima mpatane tu.Mpatie Tuu huu ni wakati mzuri sana maana baada ya kusuluhishana munapatana na kuweka mwili sawa
OkKuwa bora kwenye tendo la ndio ni jambo Mhimu na hutegemea baadhi ya mambo ila mhimu zaidi
View attachment 3131160
View attachment 3131161
View attachment 3131165
View attachment 3131163
Kile cha kununiana kunakuwaga kitamu balaaHiyo namba 4 hasa akiwa analia kwa kwikwi alafu akautaka ๐
Usinikumbushe nipo kazini nisijeomba ruhusa bureKile cha kununiana kunakuwaga kitamu balaa
Umekuwa mkali sikuhiziANGALIZO.
Mada imesema wazi wakati sahihi wa kufanya TENDO LA NDOA. Siyo wakati sahihi wa kufanya NGONO na UASHERATI.
Hii mada ni specific kwa wanandoa. Siyo ninyi vijana mliokutana huko mnapelekana ghetto kutifuana.
Bladfaken.