Wachina walikuwa wanaenda kujilipa ule mkpo wa reli ndipo jamaa akalazimika kuokoa jahazi kwa kukopa tena.
Mama Abdul, bashe na mwigulu mameuza vibali vya sukari 300 Kila kilo,
Tulia weweeeHuyo jamaa anamuona Uhuru ni afadhali lakini kiukweli wote ni majizi wakubwa.😎
Situlii😁Tulia weweee
Nilijua pesa anawekeza kumbe ananunulia saa na nguo ni kama wakike hivi huyo Rutototatata....Wanasiasa wa hizi shithol countries wanajikwapukia wanavyotamani; wanajiona wao ni bora mara milioni zaidi ya maraia.
Ulafi uliovuka vipimo hata anavyojua shetani