Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Messi ni moja wa mchezaji anayependwa na watu wengi sana hapa duniani kutokana na ukarimu, Nidhamu aliyojaliwa. Hakuna timu ulimwenguni isiyopenda kuwa na mchezaji kama Messi.
Wakati wa kombe la Dunia vilabu vingi nje na Uingereza ambazo zinawachezaji wake Argentina wamekua wakiwapongeza wachezaji wao lakini lazima na Messi wamwoneshe.
Unajiuliza kwanini wanampost na Messi? Why wasipost wachezaji wao tu?? Messi ni kama maji tu. Our GOAT [emoji238].
Wakati wa kombe la Dunia vilabu vingi nje na Uingereza ambazo zinawachezaji wake Argentina wamekua wakiwapongeza wachezaji wao lakini lazima na Messi wamwoneshe.
Unajiuliza kwanini wanampost na Messi? Why wasipost wachezaji wao tu?? Messi ni kama maji tu. Our GOAT [emoji238].