Zifanye nywele zing'ae

Zifanye nywele zing'ae

Joined
May 25, 2018
Posts
61
Reaction score
86
Hii ni njia ya rahisi sana ya asili ya kuweka mng'ao kwenye nywele zako na kuzifanya zishine pia inachochea ukuaji wa nywele

Unachotakiwa kufanya ni kuchemsha majani ya rosemary kwenye maji kiasi na uyaache yalale usiku.

Kisha unaongeza apple cider vinegar kwenye hayo maji. Unakuwa umejipatia serum nzuri sana ya nywele

Oshea angalau mara 1 kwa wiki
IMG_20190906_084300_245.jpeg
 
Siku hizi viitu vyote vya urembo vipo jikoni kwako achana na kupoteza pesa madukani! Kitunguu+mafuta ya mnyonyo+ mafuta ya chungwa unapata mwenye nzuri sana!
 
pia kuna mafutaya nyonyo ni mazuri yanakuza nywele, yanazuia kukatika, kua nyeusi na kujaza nywele
IMG_20190919_155230.jpg
 
Back
Top Bottom