Bretha Naturals
Member
- May 25, 2018
- 61
- 86
Haya mafuta sijawah yaona, hata maduka ya kawaida yapo?Kuna haya mafuta pia ni mazuri sana kwa kung'arisha nywele na wenye nywele kavu ni mazuri sanaaaa
View attachment 1199991
Haya mafuta sijawah yaona, hata maduka ya kawaida yapo?
ahaa okee ntayatafutaYapo maduka ya kawaida,aliyeniletea ni wa Dar
Yanauzwa Bei gani?Kuna haya mafuta pia ni mazuri sana kwa kung'arisha nywele na wenye nywele kavu ni mazuri sanaaaa
View attachment 1199991
Yanauzwa Bei gani?
Oh SawA[emoji120][emoji120]Sina uhakika bei yake my dia manake nililetewa