Zifuatazo Ni mbinu za kukwepa kifo

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Si ndio madam boss?
Kwa uhakika zaidi nitahudhuria vipindi vitatu vya chaputa immediately kabla sijawasha gari,hii ni kukuhakikishia usalama wako zaidi bosslady[emoji41]
 
Si ndio madam boss?
Kwa uhakika zaidi nitahudhuria vipindi vitatu vya chaputa immediately kabla sijawasha gari,hii ni kukuhakikishia usalama wako zaidi bosslady[emoji41]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie wote mnanivunja mbavuu asee
 
Ok wasiliana naye mpange T&C lakini inabidi muwe na chip mwilini.
Okay sawa boss,kuhusu "maswala ya utekaji" usijali maana mimi nimesoma advanced driver grade two(vip driving course)pale nit,hivyo najua nini cha kufanya pale nionapo hatari kwa boss wangu
Nb;it's true sidanganyi
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie wote mnanivunja mbavuu asee
Hio ni kwa usalama wako zaidi,maana vipind vitatu automatically charge itakuwa imeisha hivyo network haitakamata kwenye mnara,na hapo utakuwa salama salmini boss wangu madam
 
Hio ni kwa usalama wako zaidi,maana vipind vitatu automatically charge itakuwa imeisha hivyo network haitakamata kwenye mnara,na hapo utakuwa salama salmini boss wangu madam
Ahaaaahaaaa....Joowz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…