Ziggy Marley Vs Damian Marley Vs Stephen Marley Vs Kymani Marley Vs Julian Marley who is the best?

Kaka,

Unajua mimi nilikuwa nafikiri ni mahaba yangu tu binafsi.

Lakini naona watu wengi sana wanakubali Jr. Gong.

Ila narudia alichosema Jah Shango Capleton.

Music is a mission, not a competition.
 
Damian Marley is wicked man he is next to non
 
Haile Jah!, Haile man! Haile selasian Jah never die! Kuna song Moja la Ziggy 94s lilihit linaimba marley was the Rasta, alaf chorus nayo inajibu...Was the Rasta jamani wajuzi waitupie hii song pls
 
Affairs of the Heart.... Bonge la ngoma! Jr gongYupo vizuri.
Kuna ile moja yupo na NAS katupia na kiswahili kidogo
 
Napenda muziki wa Reggae, lakini huko Carrebean kuna watu wako fire mpaka nakosa muda wa kuwasikiliza hao watoto wa Bob Marley. In short wote ni overrated tu, wanatembelea umaaarufu wa baba yao.
 
Write your reply...Acheni kumfananisha Damian Marley na vitu vya Kijinga


beautiful

Damien Marley ft Bob Brown
 
Up in the street they call it murder...welcome to jamrock.....an ah mbaya sana huyu jamaa
Hatari sana hiyo ngoma

kuna hii hapa nyingine

Affair of the heart
 
Tatizo wengi mnalinganisha mziki wao wa sasa, au zamani kidogo bil KUJU kuwa Ziggy Marley ndiye mrithi hasa wa Bob Marley na kaimba mziki miongo kadhaa, na anaendelea kudhihirisha u.legend wake. Hayupo wa kumlinganisha naye ktk Bob Family.
Mkuu na heshimu mawazo yako " pia na muheshimu sana Ziggy ..lakini kwa Damian akasome Upya ..yule sio mtu mzuri ndio maana waona hata ma star wa USA wana mnyenyekea mnoo haswa Nas ..
 
Affairs of the Heart.... Bonge la ngoma! Jr gongYupo vizuri.
Kuna ile moja yupo na NAS katupia na kiswahili kidogo
Bonge si la ngoma hilo ..bonge si la ngoma balaa"... aisee kumbe tulikuwa tuna safiri pamoja kifikira Maana mimi mwenyew nimeitaja hiyo ngoma kabla sijaiona hii Post yako
 
Speak life ni hatari sana...
 
Sasa itafute grown and sexy.... hutojutiaa
Bonge si la ngoma hilo ..bonge si la ngoma balaa"... aisee kumbe tulikuwa tuna safiri pamoja kifikira Maana mimi mwenyew nimeitaja hiyo ngoma kabla sijaiona hii Post yako
 
Yani Ziggy Marley kaimba miaka kibao, ninachokumbuka ni "Tomorrow Peeople".

Kaja mchizi juzi tu kafunika vibaya sana.

Lakini Jah Shango Capleton alisema "music is a mission, not a competition"

Umsikilizi Ziggy, juzi hapa kapata Grammy ya Album ya Fly Rasta. Damian anawika tu kwenye main stream music lakini Ziggy ni mchawi wa shows kama babake. Ni vile tu audience ya muziki wa sasa hawaelewi kabisa radha ya muziki mzuri.

NB: Hii haimaanishi Damian ni mbovu, hapa nawalinganisha big na young Marley brothers.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…