Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Hebu ongeza picha zingine nami nijipime UJINGA ha ha haaa.Inaonesha umepigwa cha mbavu na demu halafu demu amempenda mshikaji mwengine ,pole sana jikaze ndio uanaume huo.
Eff off.We ni Mwanamke?
Namba saba ni mngese kabisa1-Anyebadili jina Mitandaoni na kujiita majina ya watu Maarufu,huyo ni MJININGA.
2-Anaetoa Mimba kisha kulala na Midoli,huyo ni MIJNGA.
3-Anaedate na MUME wa mtu miaka nenda Rudi na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo ni MJINGA.
4-Anaeweka nywere,Kucha,Kope, za BANDIA halafu akiambiwa umependeza anasema Asante, huyo ni MJINGA.
5-Anaebeba Minguo ya hawala yake na kwenda kufua hali akijua huyo ni MUME wa Mtu huyo ni MJINGA.
7-Anaemkataa mwanaume anaetaka kumuoa kwa ajiri ya BISHOO wa kwenda nae club huyo ni MJINGA.
8-Anetoroka kwao na kwenda guest kulala na bwana na asubuhi anaambiwa hapa sina hela, iliyobaki naenda kumpa Mke Wangu na akakubali huyo ni MJINGA.
8-Mwanamke ambaye hamiliki hata Kitanda, kisha anataka Mwanaume mwenye gari,huyo ni MJINGA.
9-Mwanamke anakwenda kwenye ibada huku amevaa sket fupi halafu njia nzima aniashusha ili Magoti yasionekane huyo ni MJINGA.
Ongeza na yakwako!!!!!!!
ndo jina langu la ubatizo mkuu jina halisisa.mbona hata ww umebadilisha jina humu mtandaoni
upowanawakee kaeni viti vya mbelee na wasikilizajii njooni huku nyumaa
Kwaio we nae ni mjinga ?Tafsiri ya ujinga ni pana mno.
Mfano wewe mkuu mleta uzi ni mjinga kwasababu hauna uelewa wa sababu zinazowafanya hao unaowaona wajinga kufanya hivyo.
Posti yote ya kijinga na walio comment wajinga
Wanaosema UTAPATA TABU SANA nao ni WAJINGA!!
Kwaio we nae ni mjinga ?
nipoo.
nabado unaangalia tu, wewe ndio wa hovyo kabisaMfano mdogo tu.
Hapa nilipo sina uelewa ni wapi walipo watanzania wenzangu akina Ben,pia sijui waliomchabanga Lissu risasi,unadhani mimi sio mjinga katika hayo?
Kila mtu ni mjinga kwa upande fulani.