Zijue aina za biashara unazoweza kiuzifanya bila mtaji

Kiazi

Kuwa na adabu. Siyo kuja kuongea sijui umetoka kusoma kitabu cha nanauka then unayabeba huko. Eti Biashara unaweza kufanya bila mtaji. Labda kuokota kumbikumbi na konokono unawauza au mikusu huko iringa
Vip biashara ya udalali unatumia mtaji upi??? Achana na wale wenye ofisi nazungumzia wale walioweka bango kwenye nguzo za umeme.
 
Inategemea denifition yako ya mtaji,acha kucopy na kupaste,kiufupu hakuna biashara unwz fanya bila mtaji,period
 
Inategemea denifition yako ya mtaji,acha kucopy na kupaste,kiufupu hakuna biashara unwz fanya bila mtaji,period
Wewe definition yako ya mtaji ni ipi???

To hoja ueleweke

Kama nimecopy na kupaste nimevunja sheria ipii???
 
kuwa na kalamu na daftari ni mtaji. maybe unatumia computer ni mtaji.
hata nauli ya kwenda eneo la kazi ni mtaji. mlo wa kila siku ni mtaji.

HAKUNA BIASHARA BILA MTAJI labda huelewi maana ya mtaji ni nini.
 
Angalau ukiwa na ujuzi na Computer yenye specifications za kusupport software za graphics. Ofisi itabaki networking yako tu.
Na computer lazima uwe nayo, alafu graphics designing ipo very wide mfano Kuna wale wanaotengeneza stickers Kuna kamtambo fulani wanatumia.
 
Zipo nyingi tu mkuu ila wajuaji wengi humu
Mkuu Baba kwa upande wangu nakushuru saaaana! na Mungu naye mjua akubariki mnoooo Baba!!...mengineyo yoote humu vumilia tu! ndo binadamu tulivyo!..hakuna namna! tunaishi nao!
 
Plan zipi hizo tukuoe mtaji uwe unatuletea ka percentage
Nipo serious.
maana fikiria habari hizo unamueleza mwanamke yeye atafikiria hilo.

Sisi huku mtaani tuna plan nyingi ila mwisho wa hitimisho ! Mtaji tutapa wapi
 
Ongezea na Real Estate Business
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…