KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Kwani kiukweli kuna vitambi vya aina ngapi?
Hah hah vipo na vya kurogwa eti ehh
Asali ya waremboNjee ya kukopeaa hakina kazi Tena mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeee kumbeé ndivyo ilivyoo mkuu .hapo nimeelewa tayr kitambi mambo mawili kuhusu kitambi..Asali ya warembo
Kufutia kioo cha smartphones...😊Hv kitambi Cha aina yyt kina kazi gan mwilinii Kwa mtu!!!
Yap broAiseeee kumbeé ndivyo ilivyoo mkuu .hapo nimeelewa tayr kitambi mambo mawili kuhusu kitambi..
1.kukopea
2.asali ya warembo.
3...!!
litutumbweHasa miaka hii watu wamezidi vitambi, nilienda benki fulani hapo kibaha wafanyakazi wake kwa waume ni vibonge mno.
Hah haaKufutia kioo cha smartphones...😊
Etiiii!!!???Kufutia kioo cha smartphones...😊