Zijue haki za wakulima,wafugaji,wavuvi na wachimbaji wa madini katika katiba pendekezwa

Zijue haki za wakulima,wafugaji,wavuvi na wachimbaji wa madini katika katiba pendekezwa

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,536
Ndugu zangu wakulima kama mimi, wavuvi na wafugaji na wachimbaji madini, katiba imetutambua nashughuli zetu tuipe kura ya ndio ili tuepuke migogoro ya ardhi ya kila siku

haki zetu zinapatikana hapa

46-(1) Haki za wakulima, wafugaji,wavuvi,na wachimbaji wa madini wtakuwa na haki ya
(a) Kumiliki, kutumia na kuendeleza ardhi kwa ajili ya shughuli zao
(b) Kupata taarifa kwa lengo la kuboresha kilimo, ufugaji,uvuvi, na uchimbaji madini
(c) Kumiliki na kunufaika na rasilimali za kinjenetiki za kilimo,mifugo na uvuvi’.na
(d) Kushirikishwa katika utungaji wa sera, sheria na mipango mbali mbali inayohusu shughuli zao.
(2) mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa kisheria kwa madhumuni ya kubainisha na kutenga maeneo ya rdhi kwa ajili ya matumizi ya kilia kundi lililoanishwa katika ibara ndodo ya (1)
 
Sio nyinyi wakulima, wafugaji, wavuvi na wachimabji madini peke yenu hata sisi wafanyakazi tupo si unaona katiba ilivyo poa hata kwetu
Haki za wafanyakazi
44-(1) kila mtu ana haki ya kufanya kazi ya kujiajiriwa au kujiajiri mwenyewe kupata ujira unaostahili
(2) kila raia ana haki na fursa sawa ya kushika nafasi yeyote ya kazi, uongozi au shughuli yeyote iliyo chini ya mamlaka ya nchi.
(1) kila mfanyakazi ana haki zifuatazo
(a) Kufanya kazi bila ubaguzi wa aina yeyote
(b) Kupata ujira na malipo halali kulingana na kiasi cha na sifa za kazi anayofanya,
(c) Kuunda au kujiunga na chama cha wafanyakazi mahali pa kazi
(d) Kushiriki katika shughuli za chama za wafanyakazi,
(e) Kupata hifadhi ya afya na usalama katika sehemu ya kazi, na
(f) Kugoma kutokana na mgogoro wa kimaslahi kwa mujibu wa sheri itakayotungwa na bunge
 
Sio nyinyi wakulima, wafugaji, wavuvi na wachimabji madini hata sisi wafanyakazi tupo si unaona katiba ilivyo poa jwa kwetu
Haki za wafanyakazi
44-(1) kila mtu ana haki ya kufanya kazi ya kujiajiriwa au kujiajiri mwenyewe kupata ujira unaostahili
(2) kila raia ana haki na fursa sawa ya kushika nafasi yeyote ya kazi, uongozi au shughuli yeyote iliyo chini ya mamlaka ya nchi.
(1) kila mfanyakazi ana haki zifuatazo
(a) Kufanya kazi bila ubaguzi wa aina yeyote
(b) Kupata ujira na malipo halali kulingana na kiasi cha na sifa za kazi anayofanya,
(c) Kuunda au kujiunga na chama cha wafanyakazi mahali pa kazi
(d) Kushiriki katika shughuli za chama za wafanyakazi,
(e) Kupata hifadhi ya afya na usalama katika sehemu ya kazi, na
(f) Kugoma kutokana na mgogoro wa kimaslahi kwa mujibu wa sheri itakayotungwa na bunge
 
Sio nyinyi wakulima, wafugaji, wavuvi na wachimabji madini hata sisi wafanyakazi tupo si unaona katiba ilivyo poa jwa kwetu
Haki za wafanyakazi
44-(1) kila mtu ana haki ya kufanya kazi ya kujiajiriwa au kujiajiri mwenyewe kupata ujira unaostahili
(2) kila raia ana haki na fursa sawa ya kushika nafasi yeyote ya kazi, uongozi au shughuli yeyote iliyo chini ya mamlaka ya nchi.
(1) kila mfanyakazi ana haki zifuatazo
(a) Kufanya kazi bila ubaguzi wa aina yeyote
(b) Kupata ujira na malipo halali kulingana na kiasi cha na sifa za kazi anayofanya,
(c) Kuunda au kujiunga na chama cha wafanyakazi mahali pa kazi
(d) Kushiriki katika shughuli za chama za wafanyakazi,
(e) Kupata hifadhi ya afya na usalama katika sehemu ya kazi, na
(f) Kugoma kutokana na mgogoro wa kimaslahi kwa mujibu wa sheri itakayotungwa na bunge



Me napenda kila atakae changia HOJA Iliyotolewa aje na IBARA Kabisa maana kwa sisi ambao tumeisoma na hatujaelewa itatusaidia sana ...
 
Kweli kaka Laizer ni vizuri wachangiaji wawe wanataja na ibara husika
 
ukisoma
44(2)1b Inamaana Serikali Haitasimamia Maslahi Ya Raia Katika Kazi Kwani Malipo Yatakua Ya Mapatano Kati Ya Mwajili Na Mfanyakazi
 
Nimeikubali sana hii ,imekaa vzr kwa kweli haki zetu wakulima na makundi mengine naona zimezingatiwa vzr,kweli kabisa katiba inayopendekezwa ni yetu watanzania,tuisome jama ili tusipotoshwe
 
Ndugu zangu wakulima kama mimi, wavuvi na wafugaji na wachimbaji madini, katiba imetutambua nashughuli zetu tuipe kura ya ndio ili tuepuke migogoro ya ardhi ya kila siku

haki zetu zinapatikana hapa

46-(1) Haki za wakulima, wafugaji,wavuvi,na wachimbaji wa madini wtakuwa na haki ya
(a) Kumiliki, kutumia na kuendeleza ardhi kwa ajili ya shughuli zao
(b) Kupata taarifa kwa lengo la kuboresha kilimo, ufugaji,uvuvi, na uchimbaji madini
(c) Kumiliki na kunufaika na rasilimali za kinjenetiki za kilimo,mifugo na uvuvi’.na
(d) Kushirikishwa katika utungaji wa sera, sheria na mipango mbali mbali inayohusu shughuli zao.
(2) mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa kisheria kwa madhumuni ya kubainisha na kutenga maeneo ya rdhi kwa ajili ya matumizi ya kilia kundi lililoanishwa katika ibara ndodo ya (1)
Asante ndugu kwa kutuonyesha pahala haki zetu zinakopatikana Katika Katiba Inayopendekezwa.
 
Back
Top Bottom